East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Kwanini wanune hadi wamkamate? Si kaongea habari ambayo aliisema pia Bungeni? Tena wengi sana walisema kuwa, wataona aibu kuwaalika wananchi kuchangia ujenzi wa Nchi yao kama Serikali isipochukua hatua kwa wezi wa rasilimali zetu...
Serikali ya CCM nadhani inakimbiza kivuli chake...
Amevunja makubaliano halali ya vikao halali vya madiwani vilivyotoa maazimio kuwa watu wachangie maendeleo kwenye eneo alilokuwa akihamasisha watu wachangie.
Ajue kuwa wawakilishi halali kwenye serikali za mitaa ni madiwani.Yeye ni mbunge kule kwenye serikali kuu sasa kisa cha yeye kwenda kufanyia vurugu serikali za mtaa wasichangie ana maana gani? Serikali za mitaa kupitia wawakilishi wao wameamua hivyo yeye anaenda kuwapinga akatokea huko ofisi kuu yake jimboni kwenda kupinga.Lazima akamatwe.
Iko haja ya kamata kamata kuanza kushika wabunge wote wanaenda majimboni kwenda kuhamasisha watu wasitekeleze yale yaliyoamriwa na vikao vya madiwani ambao ni wawakilishi halali wa wananchi kwenye maeneo yao.
Halafu zile hela za mfuko wa jimbo alizopewa kwa ajili ya jimbo lake katumiaje fisadi mkubwa kafulila.Aonyeshe ushahidi wa alivyozitumia.
Reply