David Kafulila akamatwa na Polisi

David Kafulila akamatwa na Polisi

Kwa jinsi tunavyonyonywa na mikoa inayochangia kodi kidogo TRA ya hawa akina Kafulila naona iko haja ya kukubaliana na sera ya majimbo ya CHADEMA ili kila mtu ale chake.Jimbo lofa kama la Kafulila libakie na ulofa wake forever sababu hela za Kodi watakazokusanya zitakuwa hazitoshi hata kulipia vikao vya madiwani au kumlipa mbunge hayo mamilioni anayolipwa Kafulila sasa.
huu uharo sijauelewa kamwe! Kwani kigoma wanachangia kiasi gani tofauti na mikoa mingine? Unafahamu aina za kodi kweli wewe?
 
kwani serikali imepungukiwa pesa mpaka wanainchi wachange???
pesa za kutawanya kwa maviroba leo wanainchi wachange?????

hata akikamatwa tayari MCC wameshaweka sharti la kutekelezwa kwa maazimio ya bunge

Hawana pesa!!! Wamenyimwa misaada wakati wanahitaji za kurubuni wapiga kura.

Sasa hivi kama Cameron anasikia haya hebu aje na lile sharti lake, Utaona mzee wa tezi dume anakenua meno na kusema sawa tu!
 
Inategemea kama unataka maendeleo ya haraka au la kama ikiwa kodi hazitoshi.

Kigoma inabidi wachangie.Ni katika mikoa inayonyonya sana mikoa mingine.Nenda kaangalia mkoa mzima wa kigoma unachangia kodi zote shilingi ngapi TRA halafu angalia huduma kama mabarabara,madaraja n.k waliyojengewa yamegharimu shilingi ngapi.Hizo zilizozidi zimetoka kwa walipa kodi wa mikoa mingine.

Iko haja ya kupitisha sheria kuwa kila mkoa utumie kodi zake tu halafu tuone kigoma watakuweje kimaendeleo.
Hapo tu wameshatunyonya vya kutosha mikoa mingine wasitupandishe hasira hawalipi kodi au kodi wanayolipa kidogo halafu halafu hata kuchangia maendeleo yao hawataki.

Hapo alipokuwa akihamasisha kafulila watu wasichangie maendeleo pana walipa kodi wangapi na wamelipa shilingi ngapi kama kodi?

..... Acha Pumba Zako Hapa, Hivi Unjua Vizuri Mapato Ya Inchi Kutoka Kigoma? Fuatilia Data Wewe Siyo Unakurupuka Tu
 
Inategemea kama unataka maendeleo ya haraka au la kama ikiwa kodi hazitoshi.

Kigoma inabidi wachangie.Ni katika mikoa inayonyonya sana mikoa mingine.Nenda kaangalia mkoa mzima wa kigoma unachangia kodi zote shilingi ngapi TRA halafu angalia huduma kama mabarabara,madaraja n.k waliyojengewa yamegharimu shilingi ngapi.Hizo zilizozidi zimetoka kwa walipa kodi wa mikoa mingine.

Iko haja ya kupitisha sheria kuwa kila mkoa utumie kodi zake tu halafu tuone kigoma watakuweje kimaendeleo.
Hapo tu wameshatunyonya vya kutosha mikoa mingine wasitupandishe hasira hawalipi kodi au kodi wanayolipa kidogo halafu halafu hata kuchangia maendeleo yao hawataki.

Hapo alipokuwa akihamasisha kafulila watu wasichangie maendeleo pana walipa kodi wangapi na wamelipa shilingi ngapi kama kodi?

..... Acha Dharau Na Mikoa Ya Watu Wewe, Kama Huna Cha Kuongea Kaa Kimya. Toa Data Basi Tukuelewe
 
Ni kosa la jinai kuzuia mipango ya maendeleo ya nchi. Huyu anastahili kufichwa mpaka ajifunze adabu.
 
Kwa jinsi tunavyonyonywa na mikoa inayochangia kodi kidogo TRA ya hawa akina Kafulila naona iko haja ya kukubaliana na sera ya majimbo ya CHADEMA ili kila mtu ale chake.Jimbo lofa kama la Kafulila libakie na ulofa wake forever sababu hela za Kodi watakazokusanya zitakuwa hazitoshi hata kulipia vikao vya madiwani au kumlipa mbunge hayo mamilioni anayolipwa Kafulila sasa.
Unahitaji kuwa na takwimu sahihi. Unachotaka sidhani kama kina ukweli, hakuna mkoa usioweza kujiendesha walipewa fursa
 
Ni kosa la jinai kuzuia mipango ya maendeleo ya nchi. Huyu anastahili kufichwa mpaka ajifunze adabu.

..... Wahujumu Uchumi Wa Inchi Yetu Kama Akina Chenge, Singa Singa, Tibaijuka, Muhongo, Maswi Et Al Mbona Hawajakamatwa Mpaka Sasa?
 
Wenzenu Kilimanjaro walishachangia maendeleo hadi basi.Sasa hivi wana mashule mazuri na maendeleo kibao sekta za jamii. Nyie wa kigoma na vumbi na viroboto kwenye miguu mko nyuma kimaendeleo mnahamasishana msichangie maendeleo mtajijua.Wenzenu walishamaliza kuchangia kwenye mikoa yao kama kilimanjaro sasa hivi ni kula kuku na kupiga siasa za bla bla kwenye majukwaa nyumbani kuko vizuri hamna nyumba iliyoezekwa kwa nyasi kama kigoma. Acheni kuchangia maendeleo mtabaki watumwa wa watu wa kilimanjaro hadi mfe kwa ulofa.
Acha uhuni kibaka wa kiccm
 
Ní kwa kushawishi wananchi wasichangie michango ya maendeleo Uvinza,Kigoma. Anashikiliwa kituo cha Polisi kwa mahojiano.

Chanzo: Jamaa aliye Kígoma

Kuchangia pesa za maendeleo? Huo ujinga watu tulishaacha cku nyiiiingi. Shukurani kwa jembe langu diwani shoka Peter Lijualikali. Kata ya ifakara hapa wilayani kilombero
 
Mkuu,nikiri kwanza kuwa mimi ni Wakili ingawa sijui kama ni mzuri au la. Mkuu,masuala la kijamii huongozwa na sheria. Zaweza kuwa Sheria zitungwazo na Bunge au zile ndogondogo. Masuala haya hayapaswi kuendeshwa kwa kauli za viongozi.

Kimsingi,serikali ina wajibu wa kujenga miundombinu mbalimbali kwa wananchi. Kisheria,mwananchi hana wajibu wa kujenga miundombinu kwa njia ya kuchanga. Sababu ni kuwa mwananchi si mkusanya kodi,mtunza fedha na mpanga mipango.

Hatahivyo wananchi wanaweza kuridhia kuchanga michango mbalimbali. Si kwa njia ya kushurutishwa. Wanapaswa kushawishiwa na kuombwa kuchanga.

Asante Mkuu

Mkuu asante kwa majibu mazuri kabisa.
kwa hiyo jamaa wanafeli kumkamata, sababu SIYO lazima kuchangia! ni hiyari na Inabidi kukubaliana,asante kwa kututoa tongotongo!
 
Wenzenu Kilimanjaro walishachangia maendeleo hadi basi.Sasa hivi wana mashule mazuri na maendeleo kibao sekta za jamii.

Nyie wa kigoma na vumbi na viroboto kwenye miguu mko nyuma kimaendeleo mnahamasishana msichangie maendeleo mtajijua.Wenzenu walishamaliza kuchangia kwenye mikoa yao kama kilimanjaro sasa hivi ni kula kuku na kupiga siasa za bla bla kwenye majukwaa nyumbani kuko vizuri hamna nyumba iliyoezekwa kwa nyasi kama kigoma.

Acheni kuchangia maendeleo mtabaki watumwa wa watu wa kilimanjaro hadi mfe kwa ulofa.

........ Waha Wabishi Wewe Na Wana Akili Sana Ya Kufikiri Siyo Kama Hao Wajinga Unaowasema, Wao Hata Wakiambiwa Wachangie Kuwatoa Kafara Watoto Wao Wanafanya Tu, Hawafikiri Hata Kidogo. Kwa Taarifa Yako Kigoma Kuna Shule Nyingi Na Nzuri, Bila Kuchangishana Zimejengwa. Halafu Hiyo Vumbi Unayosema Hata Dsm Ipo, Kama Ni Funza Hata Wewe Unazo.! Ukioza Zinatoka Tu. Subiri Utaona
 
Sema Tumbili kakamatwa kwa kuvamia mahindi yaliyopo shambani
 
Wenzenu Kilimanjaro walishachangia maendeleo hadi basi.Sasa hivi wana mashule mazuri na maendeleo kibao sekta za jamii.

Nyie wa kigoma na vumbi na viroboto kwenye miguu mko nyuma kimaendeleo mnahamasishana msichangie maendeleo mtajijua.Wenzenu walishamaliza kuchangia kwenye mikoa yao kama kilimanjaro sasa hivi ni kula kuku na kupiga siasa za bla bla kwenye majukwaa nyumbani kuko vizuri hamna nyumba iliyoezekwa kwa nyasi kama kigoma.

Acheni kuchangia maendeleo mtabaki watumwa wa watu wa kilimanjaro hadi mfe kwa ulofa.

Ata kilimanjaro amna anaye changia acha kujitekenya kwa kichanga tunawaitaga fusaa watu kama nyinyi
 
Back
Top Bottom