David Kafulila akamatwa na Polisi

David Kafulila akamatwa na Polisi

Kaangalie mikoa iliyo nyuma kuchangia maendeleo ilivyo nyuma kimaisha kuanzia ngazi ya familia,ukoo n.k
Hawachangiani kusomesha watoto shule nzuri n.k utasikia ni kazi ya serikali hiyo.Mwisho wa siku unakuta wachangia maendeleo wako mbele wasiochangia wako hoi kimaisha.

Kodi wanayochangia wana kigoma hiyo ya VAT ni shilingi ngapi jamani? Hivi kigoma ukipita hata mitaani kuna walipa kodi kweli hata uwatazame tu kwa sura au biashara wanazofanya?

Anyway endeleeni kususa kuchangia maendeleo mwisho wa siku mkifanya self assessment mtajiona wenyewe kama mlikuwa sahihi au la

sikutegemea kama wewe ni juha na kilaza kwa kiwango hiki!
 
Nakumbuka siku moja alijinadi katika chombo fulani cha habari kuwa jimbo lake ni miongoni mwa majimbo yaliyopiga hatua kubwa katika ujenzi wa maabara na kuwa hata Mh.Rais analijua hilo.
Nashangaa kuona anatiwa hatiani kwa mambo ambayo wapiga kura wake wamekwisha kuyatekeleza kwa ukamilifu.
 
Kama Police watafanya kazi kwa kufuata chama cha siasa, mwisho wake itakuwa kama Escrow jinsi ambavyo security system ilikufa wakati wa kuchota pesa.
 
Back
Top Bottom