David Kafulila akamatwa na Polisi

David Kafulila akamatwa na Polisi

Warudishe hela zetu za ESCROW kwanza na waache kumsumbua shujaa wetu wa Kigoma kusini...!!
 
kwani serikali imepungukiwa pesa mpaka wanainchi wachange???
pesa za kutawanya kwa maviroba leo wanainchi wachange?????

hata akikamatwa tayari MCC wameshaweka sharti la kutekelezwa kwa maazimio ya bunge
 
Mie Mwenyewd Hapa Kwetu Nimehasisha Wasichangie Waje Wanikamate Wakitaka Wanipm Ni Wape Namba Zangu.
 
Mbona Hawajamkamata Singa singa na badala yake wamkamate Kafulila kama kweli wana nia ya dhati kuhakikisha watu wanaokwamisha maendeleo ya nchi hii wakamatwe na wahojiwe. Polisi wetu hawa akili zao zimeenda likizo tena zimepumzika kwa kuwekwa kwenye kopo kwa kupokea maelekezo ambayo hayana msingi. Unapomkamata Mbunge anayetetea maendeleo ya watanzania tena kwa kusimama kidete kudai pesa za watanzania zirudishwe.

Kati ya singasinga na kafulila nani anayekwamisha serikali ikashindwa kujenga maabara
 
Ní kwa kushawishi wananchi wasichangie michango ya maendeleo Uvinza,Kigoma. Anashikiliwa kituo cha Polisi kwa mahojiano.

Wenzenu Kilimanjaro walishachangia maendeleo hadi basi.Sasa hivi wana mashule mazuri na maendeleo kibao sekta za jamii.

Nyie wa kigoma na vumbi na viroboto kwenye miguu mko nyuma kimaendeleo mnahamasishana msichangie maendeleo mtajijua.Wenzenu walishamaliza kuchangia kwenye mikoa yao kama kilimanjaro sasa hivi ni kula kuku na kupiga siasa za bla bla kwenye majukwaa nyumbani kuko vizuri hamna nyumba iliyoezekwa kwa nyasi kama kigoma.

Acheni kuchangia maendeleo mtabaki watumwa wa watu wa kilimanjaro hadi mfe kwa ulofa.
 
Ní kwa kushawishi wananchi wasichangie michango ya maendeleo Uvinza,Kigoma. Anashikiliwa kituo cha Polisi kwa mahojiano.

Chanzo: Jamaa aliye Kígoma
Nina uhakika kwamba wewe ni mwanasheria tena naffikiri ni wakili mzuri,NIULIZE...hivi ni haki kuchangia maendeleo wakati tunalipa kodi,vip na hii kisheria imekaa vipi mahakamani,je kuna uwezekano wa kuwashida mahakamani kama sio utaratibu kuchangia na ukaidai serikali fidia ya kudhalilishwa n.k?
 
Nina uhakika kwamba wewe ni mwanasheria tena naffikiri ni wakili mzuri,NIULIZE...hivi ni haki kuchangia maendeleo wakati tunalipa kodi,vip na hii kisheria imekaa vipi mahakamani,je kuna uwezekano wa kuwashida mahakamani kama sio utaratibu kuchangia na ukaidai serikali fidia ya kudhalilishwa n.k?
Akili matope hiyo
 
Huko ndiko watamuwekea polonium. Wanatafuta njia ya kummaliza.
 
Wenzenu Kilimanjaro walishachangia maendeleo hadi basi.Sasa hivi wana mashule mazuri na maendeleo kibao sekta za jamii.

Nyie wa kigoma na vumbi na viroboto kwenye miguu mko nyuma kimaendeleo mnahamasishana msichangie maendeleo mtajijua.Wenzenu walishamaliza kuchangia kwenye mikoa yao kama kilimanjaro sasa hivi ni kula kuku na kupiga siasa za bla bla kwenye majukwaa nyumbani kuko vizuri hamna nyumba iliyoezekwa kwa nyasi kama kigoma.

Acheni kuchangia maendeleo mtabaki watumwa wa watu wa kilimanjaro hadi mfe kwa ulofa.
Mtu mmoja anaangamiza mamia ili apate umaarufu.
 
Nina uhakika kwamba wewe ni mwanasheria tena naffikiri ni wakili mzuri,NIULIZE...hivi ni haki kuchangia maendeleo wakati tunalipa kodi,vip na hii kisheria imekaa vipi mahakamani,je kuna uwezekano wa kuwashida mahakamani kama sio utaratibu kuchangia na ukaidai serikali fidia ya kudhalilishwa n.k?

Mkuu,nikiri kwanza kuwa mimi ni Wakili ingawa sijui kama ni mzuri au la. Mkuu,masuala la kijamii huongozwa na sheria. Zaweza kuwa Sheria zitungwazo na Bunge au zile ndogondogo. Masuala haya hayapaswi kuendeshwa kwa kauli za viongozi.

Kimsingi,serikali ina wajibu wa kujenga miundombinu mbalimbali kwa wananchi. Kisheria,mwananchi hana wajibu wa kujenga miundombinu kwa njia ya kuchanga. Sababu ni kuwa mwananchi si mkusanya kodi,mtunza fedha na mpanga mipango.

Hatahivyo wananchi wanaweza kuridhia kuchanga michango mbalimbali. Si kwa njia ya kushurutishwa. Wanapaswa kushawishiwa na kuombwa kuchanga.

Asante Mkuu
 
Michango ni jambo lingine na Escrow ni habari ingine acha akamatwe tuu amegeuza huo mtaji wa kisiasa
 
Back
Top Bottom