LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,466
- 819
Ashughulikiwe ipasavyo
afanywe nini??? Maana ccm kwa uuaji hamko nyuma, wakiongozwa na mambumbumbu kama wewe, then sijajua kwa sababu zipi za msingi wewe kama mtanzania mwenye uchungu na taifa lako unamchukia kafulila, si bure utakuwa una jeraha kwenye inshu aliyo iibua kafulila si bure.