Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Sasa kwa nini huwa kila ukiona Sikonge, lazima uweke vicomment vyako?
Si uchane na mie kama sikulishi wala sileti effect yoyote? Ila kila ukiona jina langu basi udenda unakutoka na kuanza kuleta maneno kibao. Wee ukiona Sikonge, achana kabisa na hili jina tukufu, jina pekee lisomekalo tofauti na kibantu yaani SAIKONG...... or call it black Islands.
Ukiona Saikong, wee pitia mbali kabisaaaa........
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=3q0gqpOyx9o&feature=related"]YouTube- Tupac I Ain't Mad At Cha[/ame]
Dunia yangu itakuwa njema sana kama utakaa mbali kabisa na mie.
Dume kujiita jina la kike na kuandika kike kike, ni ishara tosha ya mtu anayeishi Mombasa style.
Si uchane na mie kama sikulishi wala sileti effect yoyote? Ila kila ukiona jina langu basi udenda unakutoka na kuanza kuleta maneno kibao. Wee ukiona Sikonge, achana kabisa na hili jina tukufu, jina pekee lisomekalo tofauti na kibantu yaani SAIKONG...... or call it black Islands.
Ukiona Saikong, wee pitia mbali kabisaaaa........
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=3q0gqpOyx9o&feature=related"]YouTube- Tupac I Ain't Mad At Cha[/ame]
Dunia yangu itakuwa njema sana kama utakaa mbali kabisa na mie.
Dume kujiita jina la kike na kuandika kike kike, ni ishara tosha ya mtu anayeishi Mombasa style.