Historia itakuinua baba yangu Mwakawago.......uliyotuachia ni hazina! Upumzike kwa Amani!/QUOTE]
Historia ya wapi tena? Wakati wake umeshapita na ameshahukumiwa kama mmoja aliyeturithisha tume ya uchaguzi yenye kuipendelea CCM ambalo limekuwa janga la taifa. Mungu ailaze roho yake peponi lakini kwahabari ya historia hakuna sehemu atakumbukwa kwani wote hao wametufikisha hapa tulipo leo ambapo kwa mfumo walio ujenga mafisadi wameweza kututesa kuliko wakoloni weupe.