- Wakuu wa New York City na vitongoji vyake ni kwamba kuna tunaojitayarisha kwenda Boston this weekend kuwafariji na kulia na watoto wa marehemu ambao baadhi yao wapo kule na ndiko msiba hasa hapa US ulipo, sasa kwa wanaotaka kwenda tuwasiliane jamani,
- Na habari nilizozipata hapa mjini kutoka kwa Mwalimu, ni kwamba Balozi wetu hapa UN, naye atakwenda huko mwisho huu wa wiki kuwaona wafiwa na tarehe 6 mwezi ujao kutakuwa na kumkumbuka marehemu nyumbani kwa balozi, kuanzia saa Nane mchana.
Mungu amlaze pema marehemu na awafariji wafiwa.
Ahsante.
William.