Daudi Mwakawago afariki Dunia

Daudi Mwakawago afariki Dunia

Status
Not open for further replies.
Rip mzee Mwakawago,may the almighty God rest your soul in eternal heaven
 
Sasa EL anatumia marehemu kama mashahid wake? Hii Waisilamu wanaita Ahla Al-Badr! Wanasiasa bwana!
Mwacheni Mzee Mwakawago apumzike kwa amani.
Dah! Wazee hawa wanakufaga bila kufunguka. Kwa nini alikufa nayo haya na hatimaye JK akawa Rais wetu? Hakuwahi kuyasimulia popote? Waliokuwa Zanzibar kwenye kikao kile watumegee kidogo. Wapo wengi tu bado.
 
Mambo mengine yanachekesha sasa jana tu kutajwa na EL leo watu wameanza kumrestisha in peace upya!

wengine hatukutoa heshima za mwisho,

kuna wengi sana watakufa kama huyu jamaa
1. Edward lowasa
2. Samweli sita
3. Mwakyembe
hawa wana siri za rich mondi naamini watakufa nazo kimya kimya bora wafunguke mapema kabla hawajaRIP
 
wengine hatukutoa heshima za mwisho,

kuna wengi sana watakufa kama huyu jamaa
1. Edward lowasa
2. Samweli sita
3. Mwakyembe
hawa wana siri za rich mondi naamini watakufa nazo kimya kimya bora wafunguke mapema kabla hawajaRIP

Sijui ni unafiki ama ni uwoga kwa watawala hawa wazee licha ya kwamba wana muda wa kutosha kuandika juu ya maisha yao na utumishi wa umma hawafanyi hivyo. Ni wachache sana mfano mzee Edwin Mtei wameandika.
 
Jamani mzee Paul Sozigwa ...yupo hai ...Huyo ndie aliyebeba faili la hisia Chanya za jamii dhidi ya "chaguo la Mungu" mwaka 2005.........kitu cha kwanza Alichomfanyia Jk baada ya kushinda urais nu kumuondoa kabisa kwenye utumishi wa chama .........alikuwa kwenye idara Kama za maadili,usalama,uenezi na propaganda.....na ni mtu mwadilifu sana....

Jk amehakikisha Paul Sozigwa ...anapata mkaa Kali ..yupo kwake Temeke ..hata pesa ya klorokwini Hana........waandishi Huyu ni mwanahabari mwenzenu anamyamyasika...nani hata ameshamtafuta kumhoji Yake ya moyoni...au mnataka AFE nayo..?....atuambie like faili la Jk lilikuwa na nini....maana nasikia Jk amehakikisha mafaili Yake yote kule usalama .,jeshini na ndani ya chama yanaharibiwa ili kuficha fedheha...
 
kheee jana si umetajwa na EL...khee pumzika malaflaye...
 
I do smell a problem on his death!! Mwanakijiji alishaandika article hapa!! Naomba mwenye taarifa atujuze zaidi!!! Duh!! Lowasa kiboko!!
 
Jamani mzee Paul Sozigwa ...yupo hai ...Huyo ndie aliyebeba faili la hisia Chanya za jamii dhidi ya "chaguo la Mungu" mwaka 2005.........kitu cha kwanza Alichomfanyia Jk baada ya kushinda urais nu kumuondoa kabisa kwenye utumishi wa chama .........alikuwa kwenye idara Kama za maadili,usalama,uenezi na propaganda.....na ni mtu mwadilifu sana....

Jk amehakikisha Paul Sozigwa ...anapata mkaa Kali ..yupo kwake Temeke ..hata pesa ya klorokwini Hana........waandishi Huyu ni mwanahabari mwenzenu anamyamyasika...nani hata ameshamtafuta kumhoji Yake ya moyoni...au mnataka AFE nayo..?....atuambie like faili la Jk lilikuwa na nini....maana nasikia Jk amehakikisha mafaili Yake yote kule usalama .,jeshini na ndani ya chama yanaharibiwa ili kuficha fedheha...

Kwanini anasubiri kuhojiwa na waandishi wa habari badala ya yeye mwenyewe kujitokeza kwao na kusimulia kisa kizima?

Na kama ndiye alishika faili lenye mtazamo chanya wa jamii juu ya JK, basi akubali matokeo. Kama akiona ameshindwa kuvumilia maumivu amfuate JK amkumbushe kwamba kama si yeye huenda asingefika hapo alipo. Kama JK asipomsikiliza basi amwage mboga ili watanzania waelewe kinagaubaga kilichokuwa ndani ya mafaili.

Na kama hawezi kufanya hayo yote basi aandike kitabu tu, ili baadae uje kuwa ushuhuda ili kuepusha wapotoshaji watakaoibuka baada ya kukamilisha safari yake hapa duniani.
 
JK ashakua Prez, you cannot change that. Mwacheni amalize muda wake.

Tuangalie rais ajaye, ndugu Edo Lowassa
 
Jamani mzee Paul Sozigwa ...yupo hai ...Huyo ndie aliyebeba faili la hisia Chanya za jamii dhidi ya "chaguo la Mungu" mwaka 2005.........kitu cha kwanza Alichomfanyia Jk baada ya kushinda urais nu kumuondoa kabisa kwenye utumishi wa chama .........alikuwa kwenye idara Kama za maadili,usalama,uenezi na propaganda.....na ni mtu mwadilifu sana....

Jk amehakikisha Paul Sozigwa ...anapata mkaa Kali ..yupo kwake Temeke ..hata pesa ya klorokwini Hana........waandishi Huyu ni mwanahabari mwenzenu anamyamyasika...nani hata ameshamtafuta kumhoji Yake ya moyoni...au mnataka AFE nayo..?....atuambie like faili la Jk lilikuwa na nini....maana nasikia Jk amehakikisha mafaili Yake yote kule usalama .,jeshini na ndani ya chama yanaharibiwa ili kuficha fedheha...
Inasikitisha sana kuona Tanzania wazee wetu hawana tabia za kuandika kumbukumbu zao. Philip Mangula naye alitemwa na Kikwete kwa sababu hiyo hiyo ya Paul Sozigwa. Hawa ni watu wa kuhojiwa ili kizazi hiki kipate ukweli wa madudu aliyoyafanya bwana Smile mpaka akaja kuwa rais wetu. We have the right to know
 
RIP mzee wetu mwakawago,nakumbuka alitoa mchango mzuri kwenye kongamano la mwalimu Nyerere foundtion lililofanyika mwishoni mwa mwaka jana amabalo viongozi wetu wengi walilibeza sana.

Historia itakuinua baba yangu Mwakawago.......uliyotuachia ni hazina! Upumzike kwa Amani!
 
Inasikitisha sana kuona Tanzania wazee wetu hawana tabia za kuandika kumbukumbu zao. Philip Mangula naye alitemwa na Kikwete kwa sababu hiyo hiyo ya Paul Sozigwa. Hawa ni watu wa kuhojiwa ili kizazi hiki kipate ukweli wa madudu aliyoyafanya bwana Smile mpaka akaja kuwa rais wetu. We have the right to know

Wazee wenyewe hawa wamekaa kimkakati zaidi; acha wavune wanachokipanda kwani wakati upepo ukiwaelekea vizuri wanajisahau kuwa kesho yaweza kugeuka yeye akawa upande ule wa pili unaokandamizwa. Wanafiki wala siwaonei huruma hata kidogo maana walikuwa na kila opportunity yakutengeneza a fair system ambapo kila mmoja angepanda kwa merits lakini kinyume chake wamebaki siku zote kuwa vikwazo vya demokrasia. Mungu anajinsi ya kuadhibu watu wake ambao ni vuguvugu so badala ya kuwaunganisha na wale waliojipambanua na upende wa shetani ndo hivyo maisha ya hapa yanakuwa magumu ili wafanye toba na kuingia mbinguni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom