Du Du du!Yes, it is possible.Apumzike kwa amani.Sikubahatika kumfahamu hata chembe hata jina lake ndio nalisikia leo.
kwa tunavyomjuwa mkwere na visasi ..bahati hiyo asingeweza kuipata asilani...mkulu huyu alipokuwa mtendaji mkuuu pale Lumumba miaka ya 80.....alimdemote Jamaa ...kutoka idara ya usalama kwenye chama..hadi wilayani tabora,singida,na lindi,,,etc....katika lile kongamano ni kati ya walio piga mawe saana...
kwa tunavyomjuwa mkwere na visasi ..bahati hiyo asingeweza kuipata asilani...mkulu huyu alipokuwa mtendaji mkuuu pale Lumumba miaka ya 80.....alimdemote Jamaa ...kutoka idara ya usalama kwenye chama..hadi wilayani tabora,singida,na lindi,,,etc....katika lile kongamano ni kati ya walio piga mawe saana...
Kumbe kweli kesi ya Babu Seya ina utata sana.
Anyway, muosha huoshwa.
RIP Mtani wangu Mwakawago. Huyu Mzee nilimuona alipokuja Sikonge chuo cha FDC kama katibu wa CCM. Kutoka hapo sijawahi muona tena. Kuna kipindi nilikuwa nawasiliana na mtoto wake wakati nikiwa Tanzanet. Anyway, wazee wenye maadili wanaisha, sijui tutaenda wapi maana naanza kupata wasiwasi siku si nyingi tutakuwa kama Wakenya..........
Inasikitisha kuna watu bado wanaona ni sawa kwa viongozi kusafirishwa kwenda kutibiwa nje huku mamilioni ya Watanzania hawana hata Asprin.
Ni mawazo mufilisi kweli na aibu kwa taifa letu. Lini tutaelewa kwamba lazima tutengeneze vyetu kwanza kabla ya kukimbilia kwenye vya wenzetu?
- Balozi Mwakawago, alikuwa na dini, alikuwa muumini mkubwa sana wa dini ya Islam, ukifika nyumbani kwake hicho kilikuwa ni kitu cha kwanza kuki-notice ndani ya nyumba yake na besides alikuwa ni mtu wa swala tano kwa siku, ninakuomba sana umuombe Mungu wako akusamehe kwa hayo maneno ya hapo juu.
- Marehemu, Balozi Mwakawago alikuwa ni mtu wa watu on a personal level, alikuwa ni mtu wa kujichanganya sana na watu wote bila kujali uwezo wala nafasi zao katika jamii. Alihudhuria sherehe yoyote aliyoalikwa, ninakumbuka siku moja akinilalamikia kwamba kwanini wananchi wa kawaida hawamualiki lakini wanamfahamisha later kwamba walikuwa na sherehe! au kilio.
- On the leadership level alikuwa ni mzalendo, mmoja wa the chosen one wa Mwalimu, he was a very respected leader huko Iringa, lakini ilipotokea ishu ya Mwamwindi wananchi wengi wa huko waliwakaba koo yeye na Chifu Adam Sapi, ambaye Marehemu ameoa dada yake, kwamba wafanye kila wawezalo ili asinyongwe na serikali ya awamu ya kwanza. Kwa vile sheria ni msumeno walishindwa ku-secure his realese na akaishia kunyongwa kama alivyohukumiwa na sheria, wananchi wengi wa Iringa hawakuridhishwa na juhudi zake pamoja na shemeji yake Chifu Sapi za kumuokoa Mwamwindi, na wakaishia kumnyima kura za ubunge mpaka anafariki he was very unpopular na home political base.
- Alikuwa ni mmoja wa viongozi waliomuamini Mwalimu na itikadi zake na kuzitimiza kwa matendo, infact hata nyumba yake aliyoijenga hapa mjini ilikuwa ni baada ya kuingia UN, otherwise aliondoka serikalini akiwa kama alivyo. Na knowing him on a close range he was not very happy na the way he parted ways na taifa letu baada ya kulitumikia kwa karibu nusu ya maisha yake he felt kwamba hakupewa heshima aliyostahili. Na Mtandao made very clear to him kwamba they wanted nothing to do with him na hii ilikuwa ni through Marehemu Kawawa, ambaye alimsaidia sana katika dakika zake za mwisho mwisho na ajira yake kwenye taifa letu.
- Huyu hakuwa fisadi, hakuiba wala hakuwa na kitu ninarudia ametoka serikalini akiwa mtupu sana, thanks to the UN na hasa Mzee Kofi Anan. Ninakumbuka sana baada ya kutoka kwake serikalini, nilikuwa NY nikashiriki kumfanyia sherehe kubwa sana ya kumuaga ambapo binafsi nili-specialize na financial ya ile hafla, pamoja na wananchi wengi sana kujitokeza kushikiri, pia tuliweza kuwashawishi Mabalozi karibu 20 wa nchi zingine za Africa kuja kushirki nasi kwenye kumuaga. It was a suprise party masikini ya Mungu hakujua, he cried alipofika ukumbini, siku moja baada ya sherehe he took a time akanitafuta personally na in a very humble way akaniamibia "....kijana you made my day, hujui how down I was hujui jinsi nilivyokuwa ninajisikia worhtless, kumbe kuna wanaothamini niliyoyafanya hapa duniani...", miezi mitatu later akiwa UN ninakumbuka kumualika tena kwenye sherehe moja iliyokuwa na wakuu wengi wa taifa, he came na again akanishukuru sana kwa kumkumbusha enzi zake, ingawa mwanzoni alisita sana kukubali mwaliko kwa wasi wasi kwamba labda wale wakuu wa taifa wasingependa awepo pale.
- Again this was a good man, ninajua kwamba kama bin-adam alikuwa na mapungufu, lakini ninaamini kwamba hayakuwa makubwa sana kiasi cha kuliltetea hasara taifa, au kulifisadi as opposed na hawa maviongozi magoi goi mengi tulionayo sasa. Kwa jinsi alivyokuwa akinisimulia experience zake na uongozi wa taifa hata Mwalimu alimuheshimu sana, infact hata ndani ya UN alikuwa aki-command heshima kubwa sana na ya juu sana, na he was a family man devoted in a very serious ways to his family, I mean hata watoto wake ni mfano mzuri sana wa who was Marehemu as a person.
- Again nimeandika hiki kipande na roho nzito sana, I am mourning this good man na a good leader, ninawatakia heri familia yake nzima na hasa watoto wake, Mungu awape nguvu na hasa busara za kupita hiki kipindi kigumu sana.
Respect.
FMEs!
Inasikitisha kuna watu bado wanaona ni sawa kwa viongozi kusafirishwa kwenda kutibiwa nje huku mamilioni ya Watanzania hawana hata Asprin.
Ni mawazo mufilisi kweli na aibu kwa taifa letu. Lini tutaelewa kwamba lazima tutengeneze vyetu kwanza kabla ya kukimbilia kwenye vya wenzetu?
Mwanasiasa Mkongwe nchini Balozi Daudi Mwakawago amefariki dunia Jijini Dar e salaam.
Mwakawago alipata kushika nyadhifa mabli mbali za Kiasiasa nchini, Ubunge Iringa Mjini, Uwaziri, Balozi wa Kudumu UN
Jaribu kumwandikia Makamba uombe interview na JK...lolFMES,
Nimekusikia mkuu wangu. Ndiyo maana nimesema Mwakawago alikuwa a class act.
Alipomaliza muda wake UN aliomba kuonana na Mkapa Ikulu Mkapa akakataa eti anakuja kuomba kazi. Kumbe jamaa alikuwa kishapata kazi ya UN. Hawakumtendea haki, lakini sishangai kwa sababu hakuwa fisadi mwenzao. Kuna wakati nilikuwa nasaka interview na Mwalimu Nyerere bila kufanikiwa. Niliongea na Mwakawago akaniambia nimuandikie maswali, nikadhani utani. Niliandika maswali matano, akampelekea Mwalimu. Baadaye akanipigia simu akisema Mwalimu amekubali interview yako. That is the kind of man he was.
kwi!kwi!kwi!Jaribu kumwandikia Makamba uombe interview na JK...lol
kwi!kwi!kwi!
Hawa viongozi wetu wa kwanza walikuwa class act. Hawa waliofuata ni utapeli tu.
Lakini naamini Tanzania bado kuna vichwa.
Poleni wafiwa wote. Nimesikia watamzika hapa Dar. Mzee mzito kama huyu wameshindwa kumzika Iringa kwa nini? Tunaifuta historia ya Nchi hii kwa kuwazika wazee kama hawa kwenye makaburi ya jumla hapa Dar ambayo baadaye yatakuja fukuliwa kuwapisha wawekezaji.
Julius,'Ebana Jasusi...hiyo interview yako unayo kwenye audio? Kama unayo tuwekee basi hapa....
Julius,'
Ninayo kwenye cassette. Nikishatulia nitaiweka kwenye cd. Lakini si mkisikia sauti yangu identity yangu itajulikana? kwi!kwi!kwi!