Chagulaga30
New Member
- May 25, 2025
- 3
- 5
amebadili IDyoga upo salama kweli? Tusalimie walau kwa maneno machache, tuondoe hii hofu, maana sio kwa kimya hiki !!!!
Secretary wa Kikweteyoga upo salama kweli? Tusalimie walau kwa maneno machache, tuondoe hii hofu, maana sio kwa kimya hiki !!!!
Kwa sasa jiepusheni kuwakera,
Kuna nchi Ina ongozwa na kikundi
Je kuna jambo zito linakuja hivi miezi michache? au tuendelee kungojea mpaka 30, maana ulisema kwenye nyuzi zako zilizopita kwamba kuna mambo yatatokea na BT ana tape ya matukio mbalimbali ambayo kama ikiachiliwa inaweza ikatia doa kampuni !!Wengi wa vijana waliopotea kuanzia tarehe 29 kama hamja wai kuwaona ua kujua walipo..........
Nawahakikishia hapa hamto wai waona Tena ,
Maana wenye mpini na makali wameamua kuwa teketeza!!
Huko waliko!!
Alamsiki!!
Kwa sasa jiepusheni kuwakera,
Kuna nchi Ina ongozwa na kikundi
huo ukurasa ushafungwa -Wengi wa vijana waliopotea kuanzia tarehe 29 kama hamja wai kuwaona ua kujua walipo..........
Nawahakikishia hapa hamto wai waona Tena ,
Maana wenye mpini na makali wameamua kuwa teketeza!!
Huko waliko!!
Alamsiki!!
Kwa sasa jiepusheni kuwakera,
Kuna nchi Ina ongozwa na kikundi
Honestly, umeniangusha.Alamsiki!!
Very cheap hii. Hata jembe langu la miaka mitatu tuu hii anaijua.Wengi wa vijana waliopotea kuanzia tarehe 29 kama hamja wai kuwaona ua kujua walipo..........
Nawahakikishia hapa hamto wai waona Tena ,
Maana wenye mpini na makali wameamua kuwa teketeza!!
Huko waliko!!
Alamsiki!!
Kwa sasa jiepusheni kuwakera,
Kuna nchi Ina ongozwa na kikundi
Kwenye akili ya kawaida nani hajui kuwa hao waliotrkwa October 29 hawawezi tena kuonekana?Mi narudia Tena, Mnao watafuta ndugu zenu hili sio jipya sana ila nawakumbusha tu
👉Baadhi wamefichwa kwenye vituo vya polisi vilivyo mbali na mikoa yenu
👉Baadhi wamesha uwawa (poleni) na wanaendelea kuwa maliza, na nivijana wadogo wadogo sana!
👉 Jipya ni nawakumbusha pia, kuna mtu Yuko mahakamani amesha ambiwa sana akubaliane na mfumo lakini AMEKUWA MBISHI, mwambieni Hawa jamaa hawana haya, kama mnadhani wanaogopa kufanya ilo wanalotaka kufanya, shuhudieni watalifanya live!!
Hawana uoga Tena! Na wamedhamiria kufanya!! Achange karata zake vizuri hawatanii Hawa watu fuse zisha kata!!
Yoga amekua tapeli. Nani hajui kuwa waliotekwa October 29 hawataonekana tena? Kama waliweza kumimina rrisasi vile, itakua ugumu gani kuwamaliza huko walipowapeleka?Very cheap hii. Hata jembe langu la miaka mitatu tuu hii anaijua.
huna jipya tena ?Mi narudia Tena, Mnao watafuta ndugu zenu hili sio jipya sana ila nawakumbusha tu
👉Baadhi wamefichwa kwenye vituo vya polisi vilivyo mbali na mikoa yenu
👉Baadhi wamesha uwawa (poleni) na wanaendelea kuwa maliza, na nivijana wadogo wadogo sana!
👉 Jipya ni nawakumbusha pia, kuna mtu Yuko mahakamani amesha ambiwa sana akubaliane na mfumo lakini AMEKUWA MBISHI, mwambieni Hawa jamaa hawana haya, kama mnadhani wanaogopa kufanya ilo wanalotaka kufanya, shuhudieni watalifanya live!!
Hawana uoga Tena! Na wamedhamiria kufanya!! Achange karata zake vizuri hawatanii Hawa watu fuse zisha kata!!
Serikali ipo hoi?Unaona sasa Yoga alivo msenge, abakuja kutisha watu wakati wao ndiyo wapo hoi. Moja haikai mbili haisogei
NdiyoSerikali ipo hoi?