Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Kama hata chikibob mtoto naye anawaziwa kuwa CEO nchi hii ni miliki ya mtu wala sio watu

Wazee wana laana sio vizuri kudharau wasemacho, Mzee Nyerere alionya kumpa kiti chekibob raiti kama angesikilizwa "huenda" haya yote yasingetukuta

Wazee wanaona mbali tuache kuwa tunawapuuza

Hii army within an army imekaa vizuri sana, ngoja siku moja watifuane kwanza ndo akili zitawakaa sawa waelewe kuwa waliosema madume mawili hayaishi zizi moja hawakuwa wajinga
Aya aya ya Sudani majeshi mawili
 
Back
Top Bottom