ukitumia sana feelings kwenye hzi comments za yoga lazima useme unakatishwa tamaa but usipo attach feelings you will take note 📝Watu wanapenda kuambiwa wanachotaka kuskia, Ukiwaambia kingine wanakuona hauko upande wao.
Hat polisi wapo ambao wapo na wananchi, na ndo maana skuile mwafyrls anapo watisha polisi wakamrecord na kutuma kwenye magroup.
Kuna hawa wawili kwa ku join dot ni sehemu ya manabii wa wanamtandao? 👇👇Tafuta peter lemo wa Kenya!!!
Wengine wanaotumiwa siwajui!lakini unakumbuka kipindi Gwajima akihisishwa na urais!!?manabii wengi walimtabiria Hadi Leo hamna kitu!
Sawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and rule
yoga may you explain this tafadhaliDevide & Rule = kuua tunu iliyobakia Tz inaonesha desperation.
Kukosekana kwa consistency katika brand ya "Oct29" Ndani mwao Inaonesha panic..
Suprise attack ya "Oct29" Inaonesha kutokujiandaa na kukosa taarifa, Reaction yao ilionesha kukosa direction wala back up plan.
Reaction ya wanajeshi , polepole & captain Tesha ilionesha uwepo wa power nyingine kubwa behind the scenes. Kilichotokea Oct29 yawezekana hawakufanikiwa lakini kuanzisha new phase kwa watanzania. Hiyo ni success
Kwa akili yangu ndogo ya kuchambua bongo flava naamini hii si mtandao vs wananchi ila kuna powerful block nyingine kubwa against the existing system.
Who are they ?..
Sasa inabidi uwafikishie ujumbe kwamba hio mbinu ya udini wanaojaribu kuifanya ishafeli vibaya sana ..Hakuna kipindi watanzania wote kwa ujumla wao wameungana kama hivi sasa..Piteni mtaani mkusanye maoni!Sababu waliouwawa ni wapagani,wakristu na waisilamu kiujumla kwahiyo hio chuki sio ya dunia hii.Sawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and rule
Wapo kama fisi hawaridhiki na mwli walizo nazo tayari**“Si quieres mover la balanza, tienes que tocarles donde más sienten el golpe.
👉 Y ya tú sabes:
- (su nido)
- (los caminos de riqueza y las ventanas del país)
- Las voces que conectan y los fuegos que alimentan la ciudad.
Perdona la claridad, pero es la única ruta.
Si no, es perder viaje.
¡Chao!”**
**“Si quieres mover la balanza, tienes que tocarles donde más sienten el golpe.
👉 Y ya tú sabes:
- (su nido)
- (los caminos de riqueza y las ventanas del país)
- Las voces que conectan y los fuegos que alimentan la ciudad.
Perdona la claridad, pero es la única ruta.
Si no, es perder viaje.
¡Chao!”**
We watu wakipangwa inakuuma nini,, chomoa unye basi au kama rahisi wapange weweAnawapanga raia mijitu mizima inakesha kuja kulishwa propaganda eti!!
Kosa la Pole sio Timing wala Backup. Kosa lake ni vision, unaachaje kazi na kusema haumtaki mgombea lakini unataka uchaguzi ufanyike. Huyu jamaa alitumia hisia kufanya maamuzi na sio akili. Hotuba yake ya kwanza ilitakiwa iongee kuhusu kusogeza mbele uchaguzi then tudraft katiba mpya. Ndio maana hadi sasa wameshamsahau.Hiki ndicho watu wengi hawajataka kukifuatilia kwa undani zaidi "kulinda interest zao"
Code zilianza kufunguka pale Mr. Rost alipoanza kuhangaika kutumia media kujisafisha baada ya Mr. Pole kuanza kugusa pasipotakiwa kuguswa
Kama kuna mtu watamchukia hadi kufa kwao, ni Mr.Polepole! Huyu Ndugu alijitoa muhanga kutaka kupambana nao sema ama alikosea timing (alichelewa) ama alikosa back up kutoka kwenye chama chake
NB: Haya yanayosemwa semwa kuhusu Museveni kulipa hilo genge usaidizi wa kijeshi lina ukweli wowote?
Eso es muy peligroso, amigo. Eso significa guerra**“Si quieres mover la balanza, tienes que tocarles donde más sienten el golpe.
👉 Y ya tú sabes:
- (su nido)
- (los caminos de riqueza y las ventanas del país)
- Las voces que conectan y los fuegos que alimentan la ciudad.
Perdona la claridad, pero es la única ruta.
Si no, es perder viaje.
¡Chao!”**
Nimeiona...! Lakini, mara hii haitafanya kazi. Wenye Kampuni wanajua wanachokitaka....divide and rule
For sure lipo open iloWhatever the case, divide and rule ndio bomu lingine zito litawalipukia vibaya kuliko la tar 29. Mwamko ukishafikia huku chini kwa watu wa kawaida dawa ni kuchutama otherwise it is going to be worse na mbaya zaidi vidole vyote viko kwao. I'm afraiding kama tar 9 ikitokea kama tar 29 hata kwa 12 hrs tutashangaa. Hii nchi inamezewa mate kitambo na maadui wamesubiri moments like this for long. Wanamtandao penda wasipende watatafuta meza!
Tuendelee na kazi usiwasikilize hao!!!Aisee??
Sema moja ya kitu najiuliza anachofanya hapa ni kwa faida ya Nani ??Tufikirie kwa angle nyingine yoga sio yupo huo upande au anatisha watu NO…uzi wa muda mrefu huu tukumbuke….nadhani yeye anasema kile anachokiona kwenye mfumo .ukifuatilia kete zake nyingi kama zimetiki ndio maana yeye anasema nature itaamua au kama tutaweza kaza kwa siku tatu na zaidi it’s possible.. ndio maana tunaweza iweka hivi je ni rahisi jibu linakuja HAPANA…then je inawezekana jibu linakuja NDIO
Kunaoneka Kuna watu wanfanya placing , Kuna Uzi wa malcom lumumba pia anawaza the same thing maandamano dar yalikuwa too well executed for first timersDevide & Rule = kuua tunu iliyobakia Tz inaonesha desperation.
Kukosekana kwa consistency katika brand ya "Oct29" Ndani mwao Inaonesha panic..
Suprise attack ya "Oct29" Inaonesha kutokujiandaa na kukosa taarifa, Reaction yao ilionesha kukosa direction wala back up plan.
Reaction ya wanajeshi , polepole & captain Tesha ilionesha uwepo wa power nyingine kubwa behind the scenes. Kilichotokea Oct29 yawezekana hawakufanikiwa lakini kuanzisha new phase kwa watanzania. Hiyo ni success
Kwa akili yangu ndogo ya kuchambua bongo flava naamini hii si mtandao vs wananchi ila kuna powerful block nyingine kubwa against the existing system.
Who are they ?..