Dark days 17/03/20

Trust me, it won't be what u wish now but letter on it will... πŸ˜‚ Don't be confused with all these dramas, usije sema sikukiambia!! Tatizo hamuwajui vizuri hawa watu they are very good at maigizo!! December sio mbali
Tunawajua,ila hatuna la kuwafanya,mtu mmoja alisikika akisema tupo kwenye ''state capture''
 
Duuuh,kumbe bonge la bibi naye ni hatari sana kumbe?πŸ™Œ
 
Ayatola wa Tanzania wa mchongo, muhuni muhuni, Fisadi baba wa mafisadi Tz kwa kumwongopa Edo na team yake alihamishia Dodoma makomando ili awe na ujasiri wa kumkata Edo,
Nadhani wazalendo wasipokuwa makini ndicho atakachokifanya
Kwa hiyo Edo ndio alikuwa mzalendo? hivi unawajua ccm vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…