Dark days 17/03/20

nilisema Toka nyuma kidogo hapo they are to be deleted,
Even their infrastructures and financial sources are going to be taken, other leaders are going to be locked, unless they comply,

Fail to do so, it's the end
Wameshaanza na ruzuku. Ila hapa watafanya vikundi vya kigaidi vitokee, kuiua chadema haitakuwa rahisi kama wanavyofikiria.
 
nilisema Toka nyuma kidogo hapo they are to be deleted,
Even their infrastructures and financial sources are going to be taken, other leaders are going to be locked, unless they comply,

Fail to do so, it'
nilisema Toka nyuma kidogo hapo they are to be deleted,
Even their infrastructures and financial sources are going to be taken, other leaders are going to be locked, unless they comply,

Fail to do so, it's the end
Wa comply na nini ? Siasa la ulaghai za kuamriwa na dola au Mwenyekiti wa CCM?
 
Huyu Yoga anawalisha upepo tu ID za kuaminika humu zinajulikana zinaleta taarifa moto moto na zinatokea mfano Britannica, huyu Yoga ni mpiga ramli tu na umbea
Mmbea baba ako..anzisha uzi wako kasa mkubwa wewe
 
1:yoga , kwa jicho la tai ,yule askofu anaonekana katumwa na SSIT, je kuna plan B inayoendelea kuhusu kizimkazi.

2:yoga , Kwa jicho la tai, askofu anaonekana kumlenga mtoto pendwa (mkuu wa mkoa) kama mhusika mkuu wa utekaji.

3:yoga , hii kolabo kutoka kampuni jirani imekuja kama ajali au imepangwa??

4:yoga , kwa jicho la tai, inaonekana kampuni kama inataka kummwaga bibi kizimkazi kwa kumtengenezea ajali ya kisiasa, ni kweli?? Itawezekana kabla ya uchaguzi??

5:yoga , kwa jicho la tai, kunaonekana kuna SSIT ndani ya SSIT, vita yao kubwa inaisadia kampuni???
 
Aisee,msajili ametengua uteuzi wa viongozi wa CDM na amekiondolea ruzuku pia πŸ˜†
 
Nimeelewa kitu hapa βœ”οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…