Ilikua mwaka 2003 kama sijakosea ilikua channel ten, sheikh yahaya alisema "nchi itaongozwa na jakaya, baada ya jakaya atakuja rais mweusi mchapa kazi mkali sana lakini hatadumu katika uongozi na hapo ndipo nchi itapata rais mwanamke" sikumbuki vizuri kuhusu hapa ilikua baada ya au ni aje ila nchi itakuja kutawaliwa na upinzani.Alisemaje mtabili?
Yule mzee alijaaliwa kipaji maalumIlikua mwaka 2003 kama sijakosea ilikua channel ten, sheikh yahaya alisema "nchi itaongozwa na jakaya, baada ya jakaya atakuja rais mweusi mkali sana lakini hatadumu katika uongozi na hapo ndipo nchi itapata rais mwanamke" sikumbuki vizuri kuhusu hapa ilikua baada ya au ni aje ila nchi itakuja kutawaliwa na upinzani.
Yote yametimia imebaki la upinzani, kuna watu wamejaaliwa kuona ya mbele. Japo miaka hiyo tulikua tunaona chai tu nchi itatawaliwaje na mwanamke kumbe kweli na sio chai.
Kabisa japo tulikua wengine hatumtilii maanani kabisa tunaona chai tu.Yule mzee alijaaliwa kipaji maalum
dah inasikitisha sana, nazani wengi kwenye hii thread tulizani purukushani zote izi ni kila mtu ale keki kumbe mambo ni yaleyale doh!!!Nope!!
😂😂Ilikua mwaka 2003 kama sijakosea ilikua channel ten, sheikh yahaya alisema "nchi itaongozwa na jakaya, baada ya jakaya atakuja rais mweusi mkali sana lakini hatadumu katika uongozi na hapo ndipo nchi itapata rais mwanamke" sikumbuki vizuri kuhusu hapa ilikua baada ya au ni aje ila nchi itakuja kutawaliwa na upinzani.
Yote yametimia imebaki la upinzani, kuna watu wamejaaliwa kuona ya mbele. Japo miaka hiyo tulikua tunaona chai tu nchi itatawaliwaje na mwanamke kumbe kweli na sio chai.
Mbona cheko au utabiri hautimii huu afe kipa afe beki 😁
Sema nenoAbeee😄
Kwa hiyo ni yeye..?Ilikua mwaka 2003 kama sijakosea ilikua channel ten, sheikh yahaya alisema "nchi itaongozwa na jakaya, baada ya jakaya atakuja rais mweusi mkali sana lakini hatadumu katika uongozi na hapo ndipo nchi itapata rais mwanamke" sikumbuki vizuri kuhusu hapa ilikua baada ya au ni aje ila nchi itakuja kutawaliwa na upinzani.
Yote yametimia imebaki la upinzani, kuna watu wamejaaliwa kuona ya mbele. Japo miaka hiyo tulikua tunaona chai tu nchi itatawaliwaje na mwanamke kumbe kweli na sio chai.
Nilipotea online kwa mdaa yogaa , nitag nyuzi ya mwisho inayohitaji maelezo ya muendelezo december mwaka 20 25 😁🙏Abeee😄
Sijui kwakweli ngoja tusubirieKwa hiyo ni yeye..?
Sawa sawaSijui kwakweli ngoja tusubirie
Naileta hii hapa Tena ili kuondoa uchovu wa kusubiri 25122025.Inaendelea.......
60 days before the dark days ........
(Flash back)
Someone called the boss na kumwambia you are in danger, some people are planning to take you out! Hawako na furaha ya hiki unacho fanya! Boss kama kawaida yake kujiamini sana, anadai yeye anaprotection ya kutosha, and if, alisalimika last time akiwa kama cashier wa kampuni ni urongo na upuuzi akiwa the CEO kuwa termineted!!
The boss anaamua kuongeza udukuzi kwa adui zake, lengo awaumbue kumbe they knew and walimpa alichotaka asikie but behind the corridor unyeti wa mambo unaendelea
Kosa kubwa ni kumundermine the old boss A.K.A the king maker!! So the old boss alijua kuna the old CEO kabla yake ambaye ndie alimtengeneza huyu CEO wa sasa. Hata wakati wa mapendekezo tha CEO aliinsisit huyu CEO apewe nafasi kuinusuru kampuni!! Na inavyo onekana huyu ndie behind the scene director wa the existing CEO
They called a meeting, involving one of his closest top security friend from the company! And then come up with targets chart board! Ile bord ilikua ikimuonesha the new boss na subordnates wake wooote wanaompa kiburi
Wakati huo, big boss na yeye akiwa hajui akaona am cut off totaly old boss in the company, aka select new secretary akamuondoa the old one, then na new public relation officer, wote wakiaminika hawakuwahi kuwa ndani ya kampuni!! Maswali kwa wafanyakazi wa chini walio dhani wana opportunity ya kuchukua hizo nafasi yakaanza but hofu iliyafanya yapoteee
The top security na vijana wake waka-identify targets wao na kupewa go ahead, but before anything kulikuwa na a very deep informer direct kutoka kwenye meza ya new boss!!
bwana weee!!
Wakaanza na yule old CEO, pitanaye in a way no one noticed!
Big boss was shorked and hakuamini! He was told he died from a normal death! One thing he didnt know is that, inside the office kuna mtu alikuwa anatoa taarifa kwa the old boss, na huyu mtu ni mtu wake wa karibu sanaaa!
The new boss ameshahangaika kumjua huyu mtu but amefail several times. Huyu mtu ndio alitoa time table ya the old CEO anaye aminiwa na new CEO wapi watakutana so that the agent responsible for the assasination can do his job!!
Huyu mtu ndie anaetoa taarifa kwa the old CEO timetable nzima ya the big boss, anakula nini, amelala saa ngapi, anafanya nini, anawaza nini na maamuzi yake ni yepi, sababu mtu huyu alitokea kuaminiwa sana na the big boss in town
So how did they terminate mzee muibua kipaji cha CEO......................
Who is the deep informal......
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
Itakua ndiyeKwa hiyo ni yeye..?
Sidhani,nusu mkate mambo yakiwa magumu nusu mkate!!hawawezi kuachia vyote Kila kitu nope!watapewa hata uwaziri mkuu au umakam wa mchongo kama kule Zanzibar!!Itakua ndiye
Lissu sio mtu wa kulambishwa asali. Mshinde kihalali atakubali wala hataki maswala ya kuwekeana ujanja ujanja. Amenyooka sana. Uchaguzi wa haki na huria ashasema akishindwa wala hana tabu na mtu.Sidhani,nusu mkate mambo yakiwa magumu nusu mkate!!hawawezi kuachia vyote Kila kitu nope!watapewa hata uwaziri mkuu au umakam wa mchongo kama kule Zanzibar!!
Mwanaharakati, Mwanasheria, na mwanasiasa...!!! Halafu unambetia "Figo" mbili...! Basi uhamishwe kutoka kwenye kundi hili.akishindwa wala hana tabu na mtu