Hadi twita ni transistor?? Naomba picha ya spika zakoHi ni 2.1 full transistor 2CA
Hadi twita ni transistor?? Naomba picha ya spika zakoHi ni 2.1 full transistor 2CA
Model gani?Hapana Twitter hapo zote speaks zangu ni mid speaker ni za pioneer
Ndio boss
Mkuu hi siouzi nliitengeneza kwa matumizi yangu binafsi
Good explainationKwahyo basii kwenye smps umeme 220v ac zikisha ingia unafikia kwenye diode
Diode kazi yake ni kugeuza umeme kutoka ac kwenda dc kwa direction moja
Kwahyo basi umeme unaotoka kwenye diode hizi hua ni dc ila hauwi dc pure
Yaan namaanisha hauwi umeme mnyoofu kabisa kwasababu
Umeme wa ic ni umeme unaotembea kwa kupanda na kushuka ila dc ni umeme unaotembea kwa mnyoofu mmja bila waves(mawimb)
Kwahyo lazima ziwekwe capacitors ili ku balance na kuuwa hizo waves za current (ntaielezea baadae jindi inavyouwa )
Kwahyo bas umeme jliotoka kwenye diode hiyo ukishapita kwenye capacitors hapo umeme unakua umekwisha tulizwa na hua dc pure kabisa
Lakini kwann inaitwa smps ni kwasababu umeme ukitoka hapo huingizwa kwenye transistors maaluumu kwajili ya kufanya oscillating na hapa ndipo jina la power supply hi linapokuja
Transistor hizi huitwa power switch transistor
Hizi huchukua umeme huo na kuswitch kwa sekunde kuingia kwenye transformers ili transfom hiyo itoe volts chache ila kwa matumizi mengi
..vuta pumzi kidogo kisha nikuelezee vyema kuhusu hilo
Mfano kwenye amplifier kuna kua na raman zako kadhaa umezisuka Kwahyo transformer hiyo ndio itagawa umeme kwa viwango tofauti tofauti unaweza kuta transformer inatoa volt 12v 25v na 6v
Lakini yenyewe iliingiza 230v pekee
Kama hyo imegharimu kias gan
Kama hyo imegharimu kias gan
I like it, una theory na practical, maelezo mazuriKwahyo basii kwenye smps umeme 220v ac zikisha ingia unafikia kwenye diode
Diode kazi yake ni kugeuza umeme kutoka ac kwenda dc kwa direction moja
Kwahyo basi umeme unaotoka kwenye diode hizi hua ni dc ila hauwi dc pure
Yaan namaanisha hauwi umeme mnyoofu kabisa kwasababu
Umeme wa ic ni umeme unaotembea kwa kupanda na kushuka ila dc ni umeme unaotembea kwa mnyoofu mmja bila waves(mawimb)
Kwahyo lazima ziwekwe capacitors ili ku balance na kuuwa hizo waves za current (ntaielezea baadae jindi inavyouwa )
Kwahyo bas umeme jliotoka kwenye diode hiyo ukishapita kwenye capacitors hapo umeme unakua umekwisha tulizwa na hua dc pure kabisa
Lakini kwann inaitwa smps ni kwasababu umeme ukitoka hapo huingizwa kwenye transistors maaluumu kwajili ya kufanya oscillating na hapa ndipo jina la power supply hi linapokuja
Transistor hizi huitwa power switch transistor
Hizi huchukua umeme huo na kuswitch kwa sekunde kuingia kwenye transformers ili transfom hiyo itoe volts chache ila kwa matumizi mengi