Ndo taarifa zinavyodai...
======
TAARIFA KWA UMMA
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe amekamatwa na Polisi muda huu uwanja wa ndege wa JNIA, Dar es Salaam wakati akitoka Kigoma.
Kwa sasa wanasheria wa chama wanafuatilia kujua sababu za kukamatwa kwake.
Abdallah Khamis
Afisa Habari - ACT Wazalendo
======
UPDATE:
Zitto atasafirishwa kwenda Dodoma kesho tayari kwa kuhojiwa na Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kukamatwa kwa mbunge huyo
Ndo taarifa zinavyodai...
======
TAARIFA KWA UMMA
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe amekamatwa na Polisi muda huu uwanja wa ndege wa JNIA, Dar es Salaam wakati akitoka Kigoma.
Kwa sasa wanasheria wa chama wanafuatilia kujua sababu za kukamatwa kwake.
Abdallah Khamis
Afisa Habari - ACT Wazalendo
======
UPDATE:
Zitto atasafirishwa kwenda Dodoma kesho tayari kwa kuhojiwa na Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kukamatwa kwa mbunge huyo
Yafaa IGP afikishwe The Hague ndipo wataacha Udikteta
Ndugu kuna mambo yanakasirisha sana kiwango ambacho hata tusi kubwa halitoshi kuonesha hasira hiyo ndipo tunatumia maneno ya kihenga tu kuonesha namna hasira zilivyotujaa!
Just imagine kwa upande mmoja watu hawana maji tokea uhuru, kuna vijiji hadi leo umeme wanausikia tu kwenye vituo vya redio,kuna kata na wilaya zizizo na huduma za kuridhisha za afya, na huduma duni ama kutokuwepo na miundombinu kabisa ya elimu ila mijitu mingine iliyopewa dhamana unakuta iko so busy kupiga ramli fulani kasema nini na mwisho wa siku ni kutumia rasilimali fedha na watu kusafiri angani kwenda kwenye kesi ambazo mshitakiwa anasema hapana na kesi inakwisha...yaani( tusi kubwaa)
Hii nguvu ingetumika kuwa tafuta wasiojulikana wangekuwa wameshajulika
Lipumba yy hana Akinya live kwenye bustani ya Ikulu atasifiwa