Tujikumbushe baadhi ya nukuu...
" Ndugai wakileta vurugu whuko Bungeni wewe pambana nao, wakitoka nje ya Bunge mimi nitapambana nao pia "
NImecheka sana!Awe Mpole tu sasa Kijana Zitto
Vinu vyake vya kinyuklia Mwandiga vimeshateketezwa kwa Moto
Hana Ujanja Tena Leo tu kakamatwa Kama Masogange au Chidi Benz Airport
Njia rahisi ya kumpiga Adui ni kuteketeza ghala lake la Silaha
Sasa ndio atajua manufaa ya bombardier, ha ha ha....Zitto kasema haendi na gari Dodoma kwa madereva waliokuja usiku kwani hawaamini kama hawana ndege, yeye yupo tayari kulipa gharama lakini haendi na gari.
Kamata kamata hicho ndio kipaumbele chao kwa sasa...
Tumechoka kamatakamata zao wabadili staili nyngine ya unyanyasaji bwana!!!
wananchi tumetekwa na bashite na baba yake iliobaki kuomba Mungu atuondolee watu hawa kwani manyanyaso yamezidi
Nadhani wanawakamata kwa kuwa kuna kitu wanataka kuwafanyia,unaona kila kubenea akikamtwa afya yake inabadilika,sijui wanamuwekea niniMi sijaelewa... HIVI KUKAMATWA KWAO, Ina maana wamegoma kwenda wenyewe Dodoma kuitika wito wa kamati au..??
Yamekua hayo!!!!!!!!Wawakamate tu ila MUNGU anawaona,mpigania haki ni lazima apitie mazingira magumu sana.
Hahahahahaha! yaani waziri wa ndani mshamba,mkuu mshamba,wa sheria hivohivo,nk kwa kuongezea malimbukeniHahahahaha lol! Mkuu tusi kubwa hili hili tusi kubwa? Au tusi kubwa "tusi kubwa"?
Umenichekesha sana Mkuu,
Kwa nini kutumia gharama kubwa? Eti magari yanatoka Dodoma kumchukua mtu mmoja! Misuse of our tax money.Inatumika nguvu kiasi unaweza kufikiri anatafutwa jangili