Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,645
Hana adabu mbele ya Wakubwa.Uka bila
Hana adabu mbele ya Wakubwa.Uka bila
Nani tena?Labda yule jamaa aliyetaka kumuangusha video yake imevuja sasa yupo over excited
Hata kama...hilo halimhusu BashiteKubenea anadaiwa na mengi ?
Kuna chochote cha maana cha kutegemea kutoka kwa huyu jamaa??
Wachaga wote na Watanzania wote ni bora kwa utu na hali zao...#Say no, to Tribalism...R.I.P Mzee wetu Mengi.RIP mchaga bora
;-) :-( ;-) =-O =-O :-\ :-$ :-$K@###yo
Weee kuna wanaume wabishi ukimuambia vaa hii hataki anataka hiyohiyoMkewe ndo kamuandalia hizo Mkuu
Na deni la Mh Kubenea mbn hakuweka wazi? Siasa mpk msibani?Polepole amelaaniwa? Manguo ya CCM msibani yanini
Kweli kabisa. Hata juzi juzi alipotangaza kuanzisha viwanda vya simu, kompyuta na kuunganisha magari nilifurahi sana kama vile ni mafanikio yangu binafsi . Ni mategemeo walioachiwa wataendeleza ndoto hiyo kukamilisha mafanikio haya ambayo ni kama makubwa kabisa katika historia ya TanzaniaMengi mtanzania pekee tuliyejivunia utajiri wake
Mtanzania pekee aliyetuwakilisha katika list ya mabilionea
Hawa wengine hawatabiriki
Mungu akulaze mahali pema peponi
Ubahili wetu ulikuwa zamaniEti mchaga hawezi kutoa hela kumpa mlemavu....hivi hili jamaa lina laana eti
Ameshindwa kuelewa kuwa chama ni imani na iko ndani ya nafsi yako na si kwenye mavazi. Ukiona hivyo ujue chama hakipo moyoni mwake bali kwenye mavazi tu.Polepole amelaaniwa? Manguo ya CCM msibani yanini
Weee kuna wanaume wabishi ukimuambia vaa hii hataki anataka hiyohiyo
Jamaa kanikera sana huyuUbahili wetu ulikuwa zamani