Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,645
Namuona Makonda hapa anahutubia Kama mlevi kwenye Msiba wa Mzee Mengi.....Anaropoka tu. Mara "Mungu awaheshimu Viongozi wa Dini". Mara "Mengi ni mchaga wa kwanza Kutoa hela ya kusaidia Walemavu"!!! Kwakweli haeleweki huyu jamaa. .....Anayeweza Kupakia video yake hapa itakuwa murua sana.
R.I.P mzee Mengi.
R.I.P mzee Mengi.