DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

avatar59305_3.gif


Mambo huweza nitinga, niisakapo riziki,
Mkahisi nawatenga, mkahisi siwataki,
Juweni nasaka mpunga, ili niishinde dhiki,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Najua mnaumia, kwani hamwishi lalama,
Nami ninawasikia, huku moyo ‘kiniuma,
Najaribu kuzuia, kwa maneno ninasema,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Salamu kweli muhimu, daima kukumbukana,
Huleta mashamshamu, nayo mapenzi kufana,
Ukimya unayo sumu, kama utazidi sana,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Nipo nanyi ndugu zangu wana JF, hakika nitakuja Dar siku hiyo ya MKODOBWE

Wewe unatuchukia, Mimi nimeshatambua,
Vikao wavikimbia, Kazi unasingizia,
Hakika watubania, Nduguzo watukimbia,
Kimya chako cha mashaka, Nduguzo watuchukia

Surayo watubania, Kutingwa wasingizia,
Kila mara wakimbia, Vikao vya jumuia,
Kazi wazisingizia, watukimbia jamaa,
Kimya chako cha mashaka, Mduguzo watukuchukia.

Sababu waturushia, Tena za kuongopea,
Surayo twatamania, wewe unaifichia,
Kwanini watuchukia, tena unatukimbia?
Kimya chako cha mashaka, Mduguzo watukuchukia.

Na Babu ODM
Kaunta ya Juu, Mfalme Nyota,
Fyatanga Bar
Boko Basihaya.

Nakala: Mtambuzi, gfsonwin, lara 1, amu, Paloma, Jiwe Linaloishi, cacico, snowhite, Madame B, Fidel80, Naniliyu, Zion Daughter KakaKiiza, Ruttashobolwa, Superman naaaaa........... well well well charminglady, Nicas Mtei.
 
Last edited by a moderator:
mmhhh ni wewe au kuna mtu kaiba password??azam coke tena.
Eti si utanipitia??tukae wote kama siku ile sawa??
Mi nawaogopa watu kama wakina Asprin maana hakawii.
Sasa basi mpendekeze na id zenu zote ...
Maana kama Asprin yeye ndo Mwanamalundi na wale wote wenye mtazamo huo sitaki kuwatag mtaje na id zenu zote...

babu unataka kujiongezea cv??
Ule si mwandiko wako...we taja tu zile id zako za siku zote
Umeingia mkenge kwenye "afadhari" siyo? Fita ni Fita Mura!!
 
Hahahahahaha
naona Zinduna umekuja na mashairi juu!
Karibu sana!

avatar59305_3.gif


Mambo huweza nitinga, niisakapo riziki,
Mkahisi nawatenga, mkahisi siwataki,
Juweni nasaka mpunga, ili niishinde dhiki,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Najua mnaumia, kwani hamwishi lalama,
Nami ninawasikia, huku moyo ‘kiniuma,
Najaribu kuzuia, kwa maneno ninasema,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Salamu kweli muhimu, daima kukumbukana,
Huleta mashamshamu, nayo mapenzi kufana,
Ukimya unayo sumu, kama utazidi sana,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Nipo nanyi ndugu zangu wana JF, hakika nitakuja Dar siku hiyo ya MKODOBWE
 
Last edited by a moderator:
Mwl gfsonwin fanya utaratibu hiyo namba ya kupitisha mchango ikae hapo juu kabisa kwenye bandiko maan naona imesha funikwa na comments!
 
Last edited by a moderator:
Babu umetishaaaaa!

Wewe unatuchukia, Mimi nimeshatambua,
Vikao wavikimbia, Kazi unasingizia,
Hakika watubania, Nduguzo watukimbia,
Kimya chako cha mashaka, Nduguzo watuchukia

Surayo watubania, Kutingwa wasingizia,
Kila mara wakimbia, Vikao vya jumuia,
Kazi wazisingizia, watukimbia jamaa,
Kimya chako cha mashaka, Mduguzo watukuchukia.

Sababu waturushia, Tena za kuongopea,
Surayo twatamania, wewe unaifichia,
Kwanini watuchukia, tena unatukimbia?
Kimya chako cha mashaka, Mduguzo watukuchukia.

Na Babu ODM
Kaunta ya Juu, Mfalme Nyota,
Fyatanga Bar
Boko Basihaya.

Nakala: Mtambuzi, gfsonwin, lara 1, amu, Paloma, Jiwe Linaloishi, cacico, snowhite, Madame B, Fidel80, Naniliyu, Zion Daughter KakaKiiza, Ruttashobolwa, Superman naaaaa........... well well well charminglady, Nicas Mtei.
 
Last edited by a moderator:
Mtumie majina ya JF bana.
Kwa mfano labda wewe jina lako ni Kayanda Muyago, ambalo ndilo litakalotokea kwenye Tigo Pesa, inabidi unitumie SMS ukitaja jina ID yako ya JF.......

Daaaaa! Nimegundua Mtambuzi utatugundua wengi maana majina halisi yatatokea! Sasa itabidi nikutumie kwa kupitia wakala aiseee! SMS itafuata baada ya hapo.
 
Last edited by a moderator:
Daaaaa! Nimegundua Mtambuzi utatugundua wengi maana majina halisi yatatokea! Sasa itabidi nikutumie kwa kupitia wakala aiseee! SMS itafuata baada ya hapo.

Duh... Una akili sana sana wewe! Ungesoma zaidi ya hapo ungelikuwa Mbeba kiti cha mkuu wa kaiya!!!!

Me ntatumia Private Namba :becky: :doh:
 
Last edited by a moderator:
Babu Asprin hata mie nakukumbuka sana, hasa kile kitambaa chako ulichotupia "Ki-Tupac style" siku ile pale Brajec kilinikoshajeeeeee!!!!!!
Hope utaja nacho WHITE PARTY make nacho ni cheupe.........

5144383534_4535617538_z.jpg
 
Last edited by a moderator:
Daaaaa! Nimegundua Mtambuzi utatugundua wengi maana majina halisi yatatokea! Sasa itabidi nikutumie kwa kupitia wakala aiseee! SMS itafuata baada ya hapo.
Mbona Mwajuma tunalijua jina lako siku nyingi tu? Hofu ya nini msiri wa homeboy wangu Kaizer?
 
Last edited by a moderator:
Babu Asprin hata mie nakukumbuka sana, hasa kile kitambaa chako ulichotupia "Ki-Tupac style" siku ile pale Brajec kilinikoshajeeeeee!!!!!!
Hope utaja nacho WHITE PARTY make nacho ni cheupe.........

5144383534_4535617538_z.jpg

Bila shaka nawe utakuja ni kile kivazi chako cha siku ile ili tukicheza mambo ya bluuz mambo yawe shamsham.... Nicas Mtei tutamtaka radhi hiyo siku.:becky::becky:

attachment.php
 
Back
Top Bottom