DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

snowhite hata mie nimekumiss sana tu my shostito! Muda mwingi nimeutumia kufuatilia sinema moja hivi sijui ni jukwaa gani. Yaani ni tamu sana alkini ina parts nyingi sana na stalingi wake anaboa maana anatokea na kupotea! Tena bora nimekumbuka ngoja nikachungulie kama imeanza tena. Ila best ujue tu kuwa hata kama kutakuwa hakuna kujitambulisha mie ntafanya kila ntakaloweza nikufahamu physically.
mie je!utanijua tu!
 
sitaki majaribu wangu, na mama wa kighana kapandisha ada! hapa nna mpango wa kufungua danguro, labda litanilipa!

Wee we weee! cacico acha kabisa! Tusijeanza kusikia kunatutafuta kukuwekea dhamana Kova akikunasa kwenye hiyo biashara.
 
Last edited by a moderator:
Ila sijaona niwapi mmemuweka kwenye kamati huyu mzee wa kumar govinder Mtambuzi au gfsonwin ulimsahau??
KakaKiiza mie nimemshauri teacher aweke njia kufikisha michango bado hajafanya hivyo. Unajua watu wakianza kuchangia ndio itaonekama huu mpango ni wa uhakika.
 
Last edited by a moderator:
sitaki majaribu wangu, na mama wa kighana kapandisha ada! hapa nna mpango wa kufungua danguro, labda litanilipa!

mwali wala sikushangai wallah lol!
mie nimetamani niende nikawaombe niwafundishie wanafunzi wao kufidia ada lol!
 
KakaKiiza mie nimemshauri teacher aweke njia kufikisha michango bado hajafanya hivyo. Unajua watu wakianza kuchangia ndio itaonekama huu mpango ni wa uhakika.
Mimi naona mpaka jioni kilakitu kitakuwa kimepata ufumbuzi hapa naona watu mawazo wameyatanguliza kwenye mihadi kuwa siku hiyo ntakuwa na ninliyu!!baada yakujua niwapi ifanyika je ninani apewe michango!!ila kuhusu wapi ifanyike nitawasiliana na Asprin na gfsonwin Mtambuzi na Madame B
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kabla ya kumwamini awe Mweka hazina wetu, hebu jaribu kumuuliza Kama ameshawalipia Ada za Shule watoto wake na Kodi ya Nyumba..........Risk hii. (.......Jst a JOKE.......)

hahhahhhhahhaha! yaani nimecheka mpaka wanangu wamecheka lol!
 
Ila sijaona niwapi mmemuweka kwenye kamati huyu mzee wa kumar govinder Mtambuzi au gfsonwin ulimsahau??

Afu kapotea sana huyu mshikaji, sijui kapatwa na nini ati!! haonekani humu ndani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom