wana CC haya tena happy new kwa mara nyingine tena mabestito.
sasa kama isemavyo hapo juu, napenda kuwakumbushia kwamba last time tulipokutana LEO TUPO HAPA PUB tulikubaliana kwamba tutaukaribisha mwaka pamoja hapa Dar kama sehem ya kuendeleza undugu na umoja wetu.
sasa nafikiri Jan ndo hii, na hivyo tunahitaj kujipanga ili kufanikisha hii party. sasa hapa nakaribisha michango ya mawazo yenu juu ya kaufanikisha jambo hili.
yufuatayo ni mawazo ya serikali ya kichwa changu juu ya hii party sasa naomba tujadiliane vyema ili kuona tuaipanga vipi.
1)nafikiri kila memba atoe mchango wake ili siku hiyo aweze kula na kunywa huku tukkiserebuka. niliwaza hivi kama kila memba atakaye confirm kushiriki akitoa 20000/= basi aweze kupata sahan ya menu na vinywaji at least 2 local beers. hapa naomba msaidie mawazo nimetengeneza tu plat form.
2)Tutafute venue ambayo tutacheza na kajimziki kidogo huku tukiendelea kufuraia mwaka na kazi ya kutafuta venue hapa nitawaachia
Asprin na
KakaKiiza wao ni wazee wa mji zaidi.
3) tarehe ya makutano yetu iwe ni tarehe 19/01 wazo tu ila kwa anayetaka kupropose tofauti unakaribishwa.
4) kwa watakao confirm kushiriki basi kuna added task watakayopewa kuifanya kwa mwaka mzima kwajili ya wana jf wenzao na hii ni strictly kwamba baada ya mwaka watatakiwa kurudisha amana. ( hapa nisifunguke zaid manake
snowhite kasema iwe ni suprise)
5) kwakua ni mwaka mwingine basi tungeweza pia kukaribisha memba wa wing nyingine kujumuika na sisi ila huyu yeye atakuja na nauli yake na mahal pa kulala ila kula na kunywa sisi tutampatia.
Haya mm nimetoa mawazo haya naoamba wengine mchangie ili kuweza kufanikisha siku hiyo.
Nashukuru kwakukumbusha ila sina tatizo na hili
gfsonwin ila je unaonaje ikafanyika friday ya tarehe 25??Maana ukweli na jua nahizi siku kuu watu watakuwa hawajajipanga japo sikazi yangu kuwasemea naomba nijisemee kuwa mimi binafsi nitakuwa sijajipanga kwa tarehe hiyo!!Ila na muomba
Madame B,
Asprin na
gfsonwin Zion Daughter Watu 8
amu na dar wingi ambao mtahamasika!!ila wewe
Smile unataka kutuchekesha kwani tanga ulikuwa unakunywa togwa??na zile turske??BTW wote wanaopenda watoe pendekezo!
CC
Asprin,
KakaKiiza,
Madame B,
cacico,
Mtambuzi,
watu8,
fidel180,
amu,
Ruttashobolwa,
Jiwe Linaloishi,
Zion Daughter,
Paloma,
snowhite,
Bishanga,
Superman,
KakaKiiza,
Smile,
Mentor,
Mbimbinho,
Billie,
manoah,
Prisoner 46664,
lara 1 Ciello Thanda,
Thando,
Mwita Maranya ET AL
NB; uvaaji utakuwa ni wa nguo nyeupe kuonyesha furaha na umoja wetu.