Dar Vs Arusha

Acha longolongo weye, njoo mjini huku tule bata! Maisha mafupi haya!

huyo bata ackose kimezeo(mbege+nyagi)...kaka umeshawahi kumix hiyo ki2, chaaa ote kabisa, haisemekii kwa utamu....unaniudhi 2 cku hizi unaitelekeza mila, cjui miller/ndovu malt...unaniudhi ujue....mara yako ya mwisho kunywa mbege ni lini?
 
Jamani njoo tuongelee dar baharini na watoto wazuri huku tunakula bata.
 
Sredi nyingine matata. Yaani tunabandika sredi kupambanisha Dar vs Arusha!

Tusipoteze muda, maisha popote, utamu wa ngoma uingie na ucheze.
 
huyo bata ackose kimezeo(mbege+nyagi)...kaka umeshawahi kumix hiyo ki2, chaaa ote kabisa, haisemekii kwa utamu....unaniudhi 2 cku hizi unaitelekeza mila, cjui miller/ndovu malt...unaniudhi ujue....mara yako ya mwisho kunywa mbege ni lini?
Khee maswali mengine bana............ Tarehe 8/8/2011 niliigida pale Marangu wakati nasubiri muda ufike nichape mwendo kuja kwa wazaramo huku......
 
Arusha bomba ila uchafu na mpangilio mbaya wa mji ndio vinanikera. Otherwise ni sehemu nzuri ya kuishi
 
Reactions: bht
Arusha bomba ila uchafu na mpangilio mbaya wa mji ndio vinanikera. Otherwise ni sehemu nzuri ya kuishi

miji ye2 mingi ni michafu, kila nilipozunguka pote papo hovyo 2 kasoro Kilimanjaro, cjui mingine ambayo cjafika hivi karibuni kama imebadilika!
 
miji ye2 mingi ni michafu, kila nilipozunguka pote papo hovyo 2 kasoro Kilimanjaro, cjui mingine ambayo cjafika hivi karibuni kama imebadilika!
Mji wa Kilimanjaro ndo upi? Mwanga, Same, Himo, Bomang'ombe, Useri, Tarakea au?
 
nisingechagua popote. ningebaki zangu mpwapwa.
 
Arusha sasa hivi kumepauka, halafu hela ngumu labda uwe na ajira ya kueleweka, nimezaliwa Arusha nimekua na kusoma huko ndo kwetu lakini nikienda naona siyo kama zamani pameharibika, Arusha zamani bwana
 

Nyamayao umemaliza,hakuna mkoa nisioupenda kama Dar! Sijui kwanini wanaoishi huko wanaona kuwa wanaishi eden!
 
Kwa USHAMBA DAR MKOO JUU,ukianzia na tabia yenu ya kulea mafsad,uchoko,uswahili yaan daily mnaishi kama jana,yaani apo dar ni f**a no wonder mafsad na washamba wote wanataka kuish uko.Arusha michongo ya ela ipo juu yaan unapga dil unashka ela ndefu na co faida za jero jero,unapata watoto wazur natural na machz rjal co wa2mia mikorogo kama kaka mkuu wenu NAPE.Aisee acha niishie apa wadar ni wachache sana wenye unaweza fanya nao mbishe kama kwel unataka gud tym njoo rchuga unapata uwakka wa future
 

Kaka! Lowassa, Sumaye, wanakaa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…