Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Ebana Eeeh poleni
basi lililoondoa uhai wa mdogo wangu hili hapa (baraka bus)
pole sana
Nashukru sana,tayari mwili ushachukuliwa unaletwa nyumbani kwa mazishi.
Poleni sana.
Ni mapenzi ya Mungu
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Basi lililoondoa uhai wa mdogo wangu hili hapa (Baraka Bus)
Ajal iltokea majira ya saa tisa alasr maeneo ya mto matandu ambapo shughul za ukarabati wa barabarani znafanyika . Chanzo ni mwendo mkal, ambapo gar liliacha njia na kuingia ktk calvat. Daily route ya bus ni dar lindi mjn to nachingwea, awali lilikuwa dar kilwa masoko
Pole sana kwa msiba
POLE sana mkuu na wafiwa... Mwenyeezi Mungu awarehemu walotangulia...Basi ndo hilo hapo brother
Poleni sana mkuu, Kazi ya Mungu haina makosa. Lakini hili basi la Baraka kwa ninavyofahamu huwa halifiki Mtwara linaishia Lindi tu.
Anyway Mungu awatie nguvu kwenye wakati huu mgumu.
Basi ndo hilo hapo brother
Bro mimi mwenyewe sifahamu usafiri wa huko. Inaoneka kuna kuunga safari kwa usafiri mwingine. Lindi na Mtwara wapi pako mbele utokeapo Dar?
Lindi ipo karibu zaidi, Mtwara to Lindi ni kama Km 105 hivi. So ni kweli probably alikuwa anataka kuunganisha labda aliondoka Dar late sana. Poleni sana mkuu, msihuzunike sana sote njia ni hiyo hiyo.
Pole mwana, msiba uko wapi?
Pole sana mkuu mwenyez mungu ailaze roho ya marehem pema peponi Amina
Poleni sana
Mungu wangu!Kumbe hii habari ya msiba uliileta wewe best yangu Ng'wanapagi?
Sikuwa nikifahamu hili,poleni sana.
Bro mimi mwenyewe sifahamu usafiri wa huko. Inaoneka kuna kuunga safari kwa usafiri mwingine. Lindi na Mtwara wapi pako mbele utokeapo Dar?
Usijali ndugu yangu ni mimi na ilitokea pasipo kujiandaa (hakuugua) nilikuta missed call na sms asubuhi jumapili kuwa amefariki kwenye ajali ya basi. Kila ndugu hakuamini hadi maiti ilipoletwa toka Mtwara na mbaya zaidi hapakuwa na direct contact kwani alifanya safari private siku ya weekend jumamosi. Kutokana na maelezo ya Mkuu wa msafara na Mkuu wake wa shule na baadhi ya abiria marehemu alikuta basi limejaa hivyo akaomba akae kwenye injini opposite na dreva!! Huyo aliyeko mkono wa kulia ndiye Mkuu wa msafara kutoka Nanyumbu na huyo mwenye shati nyeusi mkono mrefu ni mkuu wake wa kazi marehemu.