Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
- Thread starter
- #161
Hilo bus ni la Dar - Nachingwea km alikuwa anaenda masasi ndo linapitia hapo. Pia kuna la Dar- Lindi. Pole sn mkuu. Sebha atugunane.
Ni kweli kulingana na maelezo ya mkuu wa msafara ilikuwa apande gari lingine baada ya hilo kuendelee Lindi. Nawashukru sana hapa JF kwani wengi wenu wamenifariji sana hasa privately.