Dar to Mtwara, mdogo wangu kafariki kwa basi gani?

Dar to Mtwara, mdogo wangu kafariki kwa basi gani?

Nimepata sms asubuhi hii mdogo wangu amefariki kwa ajali ya basi lililokuwa linatokea Dar kwenda Mtwara. Maiti ziko hospital gani, aliyenipigia nimeshindwa hata kumuuliza sehemu ilipotokea ajali na jina la basi.

Hivi sasa simpati kwenye simu, simu ya bwana mdogo tangu jana haipatikani japo mchana akitoka Dar waliwasiliana na dada. Ma rafiki zake walioko Mtwara hata wao wanadai mawasiliano yalikata gafla.

Nisaidieni mlioko huko na tushamtuma dada yetu yuko njiani kwenda huko Mtwara na huku tukielekea stand kuanza safari.

Poleni sana
 
Hapana bro ni kweli na hadi sasa walimu wezake wamedhibitisha ametutoka pia aliyetupatia taarifa hakuomba pesa na ametupatia hadi jina la basi na hospital ulipo mwili.

poleni sana maans sha nusa utapel
 
Ajali ilitokea sehemu inaitwa sinza ukivuka somanga,,, R.I.P kwa waliofariki
 
Pole sana

Asanteni sana ndg zangu


Pole sana mkuu..




poleni sana.




Dah!
Pole sana kiongozi




poleni sana maans sha nusa utapel




Poleni sana




Dah poleni sanaa wafiwa...




Aisee inaumiza, Mungu amuweke pema na awatie nguvu familia yake




So sad, Mungu akutie ng uvu Kipindi hiki kigumu
 
Kifo hakizoeleki. Pole ndugu Mungu awatie nguvu mpite salama katika kipindi hiki.
 
attachment.php
 
Back
Top Bottom