Dar to Mtwara, mdogo wangu kafariki kwa basi gani?

Dar to Mtwara, mdogo wangu kafariki kwa basi gani?

R.I.P Mwalimu na wote waliofariki, na pole sana mkuu Mungu akutie nguvu.
 
Hapana bro ni kweli na hadi sasa walimu wezake wamedhibitisha ametutoka pia aliyetupatia taarifa hakuomba pesa na ametupatia hadi jina la basi na hospital ulipo mwili.

Dahh Inaumiza Sana Mkuu.....inaumiza sana sana! Pole sana Mkuu...Mungu akupe wepesi katika kipindi hiki kigumu! Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahali pema peponi.
 
Bwana mdogo wakati wa uhai wake (upande wa kulia).
 

Attachments

  • 1445241674662.jpg
    1445241674662.jpg
    73.4 KB · Views: 765
  • 1445241796430.jpg
    1445241796430.jpg
    32.4 KB · Views: 751
Baraka ni basi litokalo Lindi kwenda Dar na kurudi tena Lindi, haliendi Mtwara. Ni mini bus! R.I.P mdogo wetu!

Nashukru sana kwa kutusahihisha mie nilifikiri ni basi!! Asante sana CHAZA
 
Daah pole sn kaka Mungu awatie kw kusafiri na haya mabasi lazima roho ushikilie mkonon
 
RIP mwalimu. Weka jina la bwana mdogo mkuu. Mungu awatie nguvu na faraja wkt huu wa majonzi mazito. Polen sn
 
Daah pole sn kaka Mungu awatie kw kusafiri na haya mabasi lazima roho ushikilie mkonon

Ndugu inauma sana,nilipanga kupita kwake nikielekea South kwa usafiri wa basi kwani alinikomalia sana nisiache kumbe alikuwa anamaanisha jambo lingine tofauti.
 
Poleni sana familia ya wafiwa.

Mungu amrehemu mdogo wako apumzike kwa amani.
 
Duh, pole sana kwa msiba. Inaumiza sana, naomba Mungu akupe nguvu ktk kushughulikia tatizo hili. Mungu amlaze pema peponi.
 
Madereva wa hiyo barabara robo tatu ni vichaa, siwezi kuwasahau wameshanikosakosa kunisomba na kimkweche changu maeneo ya Mkuranga na Mwarusembe
 
RIP mwalimu. Weka jina la bwana mdogo mkuu. Mungu awatie nguvu na faraja wkt huu wa majonzi mazito. Polen sn

Marehemu anaitwa Renatus Magwassa. Alikuwa anafanya kazi katika wilaya na Nanyumbu.
 
Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Amen. R. I. P
 
Back
Top Bottom