Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
- Thread starter
- #21
Poleni sana. Sisi sote ni wa Mola na kwake tutarejea
Amen ndg yangu
Poleni sana. Sisi sote ni wa Mola na kwake tutarejea
Duuu!! Mkuu bro amefariki akiwa na basi liitwalo: Baraka Bus, maiti iko Kilwa Kivinje Hospital wamefariki sita!! Nimempata kwenye simu aliyenijulisha ajali.
Ebu nipe no ya huyo dada yako ili nimpokee huku mtwara.
R. I. P dogo
Pole sana kiongozi kwa msiba Mungu hamnusuru na adhabu za kabri
Pole sana mkuu.
mkuu katika hilo basi hakuna mwanasiasa yoyote? ukiwasiliana nao jaribu pia kutuulizia kama kuna mgombea yoyote humo wa udiwani, ubunge na hata urais.
Poleni sana kwa msiba huu ,Mungu awatie nguvu muweze kufanikisha yote katika kumpumzisha katika Nyumba ya milele!
Pole sana mkuu, R I P mwalimu
Pole sana ndugu yangu, Mungu awafariji na kuwatia nguvu, huu ulimwengu siyo mahali salama kabisa kwetu sisi cha kufanya tumche Mungu kwa akili zetu zote, kwa nguvu zetu zote, kwa mioyo yetu yote na kwa roho zetu zote, Mungu ampumzishe ndugu yetu na wote waliofariki katika ajali hii amen
Duuu!! Mkuu bro amefariki akiwa na basi liitwalo: Baraka Bus, maiti iko Kilwa Kivinje Hospital wamefariki sita!! Nimempata kwenye simu aliyenijulisha ajali.
pole sana mkuu kwa msiba huo
Hapana bro ni kweli na hadi sasa walimu wezake wamedhibitisha ametutoka pia aliyetupatia taarifa hakuomba pesa na ametupatia hadi jina la basi na hospital ulipo mwili.