Dar Tambarare: Mvua, mafuriko na Usahaulifu!

Nasikitika na adhaa mnayopata, lakini project kama hii (comprehensive project), sio project mchwara ya masika na kiangazi tuu, ina cost pesa nyingi. Hapa tulipo umangani (Oman) wamefanya project babkubwa ya Muscat Wastewater Scheme, kama inavyoonyesha kwenye link yao. http://www.owsc.com.om/hayawater/projects.asp
 
Nasikitika na adhaa mnayopata, lakini project kama hii (comprehensive project), sio project mchwara ya masika na kiangazi tuu, ina cost pesa nyingi. Hapa tulipo umangani (Oman) wamefanya project babkubwa ya Muscat Wastewater Scheme, kama inavyoonyesha kwenye link yao. http://www.owsc.com.om/hayawater/projects.asp

Kisu , karibu barazani mkuu..... habari za Oman???? Well ukisoma vizuri utaona kwamba pesa sio shida, utafunaji ndio tatizo... tafadhali soma post za mwanzo kabla ya hapa utaona hata jina la mradi na mwekezji pia....

Narudia kukukaribisha barazani mkuu, karibu uje ili kwa pamoja "TUENDELEE KUMKOMA NYANI GILADI MCHANA KWEUPEE"
 
135124.jpg

man rides past a washed down stretch of the newly built Kilwa Highway near Tazara Bridge in Dar yesterday. Sources told this paper that the section was damaged last week by rains. The donor-funded road is yet to be opened officially.
 
135124.jpg



man rides past a washed down stretch of the newly built Kilwa Highway near Tazara Bridge in Dar yesterday. Sources told this paper that the section was damaged last week by rains. The donor-funded road is yet to be opened officially.

Mkuu Bubu, duh hizo nilikuwa sijaziona manake si utani ni madudu kikwelikweli..... Ngoja wikendi nitajivinjari kule Kilwa road nikajifunze "Typical Tanzanian Construction" manake si siri hii ni zaidi ya aibu!!
Hebu angalia:
1. Mitaro inaonekana kama ni mass concrete bila hata reinforcement, jamani japo some isolated jointing?
2. Naona base na sub-base ya njia kuu ni natural gravel.... Hapo pananchanganya kidogo manake labda ni maji au picha lakini inaonekana material yote ni same quality from down up (redish natural gravel)
Ngoja nikaangalia bwana nami nataka kujifunza!!!

Mungu Ibariki Tanzania na waTanzania!!
 
01_10_fyz0h9.jpg

Shule nyingi za msingi vijijini bado hazina majengo imara na salama kwa kusomea watoto kama hili la Shule ya Msingi Mlamleni iliyopo Wilayani Mkuranga mkoani Pwani. Jengo hilo la madarasa mawili lipo hatarini kuangakuka na shule inakabiliwa na uhaba wa madarasa. (Picha na Mroki Mroki).
 
Thursday Feb 04, 2010

02_10_vewqmp.jpg

A CONDUCTOR tries to block pupils from boarding a commuter bus that shuttles between Tandika and General Post Office in Dar es Salaam today. The conductor, however, later allowed all the pupils into the bus after learning that our staff photographer Mroki Mroki was around and in action.
 
  • Picha ya leo
  • Video ya leo
03_10_w2cuzg.jpg

Maji taka na uchafu ulio ndani ya ukuta wa majengo ya kituo cha Polisi cha Msimbazi unatishia afya za wakazi wa eneo hilo kama ulivyonaswa na kamera ya mpiga picha wetu Kariakoo jijini Dar es Salaam jana. Hatua za dharura zinapaswa kuchukuliwa kuepusha magonjwa ya kuhara na kipindupindu. (Picha na Robert Okanda)


~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~

Si ajabu kabisa kwa Dar kuchukua nafasi ya tatu kwa jiji chafu katika Afrika na nafasi ya nane kwa majiji yaliyokithiri kwa uchafu duniani :( :( :(
 
majitaka.jpg

DANGER: An innocent young girl walks barefoot in filthy water as she emerges from her home at Jangwani in Dar es Salaam, as captured by our photographer yesterday. Residents of the area say their health is at serious risk from a drainage blocked by faeces and other waste. (Photo: Khalfan Said)
 
03_10_c9zn29.jpg

WHAT THE CITY FATHERS SHOULD FIGHT: Children play at a garbage dump at Jagwani area in Dar es Salaam. Such filth is not only unbearable but also an eyeso. Failure by the city fathers to collect the garbage from the streets and homes largely contributes to the problem. (Photo by Robert Okanda)
 
By Editor
29th April 2010


Edmvua.jpg


Editorial Cartoon

It has been raining relatively heavily in most parts of Dar es Salaam since the small hours of Tuesday, and the city is simply overwhelmed.

Most roads, streets and service roads are under water, the fact that many were already potholed even before the rains rendering them near-impassable.

The result: roads, streets and service roads so congested that motorists take hours to move a few metres and run low on patience. It is as much hell for pedestrians, motorcyclists and open-air hawkers of soft drinks and miscellaneous other items.


But one could dare say there is a silver lining to the dark cloud, at least in that it is roaring business for taxi drivers and Bajaj operators because they can still afford to move around a bit more swiftly than their commuter bus (daladala) counterparts.

In the city centre, as indeed nearly everywhere else, police have all but run out of ideas on how to make traffic move. Ask them why, and they will tell you the roads are just too narrow or potholed or both for comfort and that too many vehicles are moving around for infrastructure to cope.


The hygiene aspect is a much great cause for concern. The downpour found many parts of this city of four million or so residents already suffocating under the weight of garbage.


The rains have only helped to compound the problem, and there is understandable fear that the near future will likely witness a humanitarian crisis in the form of communicable diseases like malaria, diarrhoea, dysentery and typhoid.

Most unfortunately, some people don’t care a cent about the likely repercussions of the irresponsibility with which they behave in the face of lurking danger like the one we risk limping into by closing our eyes to environmental black spots.


Successive Dar es Salaam regional commissioners and other authorities, notably incumbent William Lukuvi and Abbas Kandoro before him, made spirited efforts to keep the city sparkling clean. They made little headway.

The Tanzania Meteorological Agency has now warned that the rains might continue possibly until Saturday at the earliest, and probably with stepped-up vengeance, and this is terrible news.


It is most worrying that a mere two days of average rainfall have literally taken the country major city and commercial capital hostage. Residents of the city and indeed the entire nation and possibly even the outside world will be wondering what will happen if we have more ferocious downpours or if it rains for two successive weeks.

By the look of things, our approach of choice remains that age-old “fire brigade” style of moving in to clear the debris long after the harm has been done and, that done, wait to repeat the futile exercise after the next tragedy.


Tanzania is no stranger to disasters. No country is. We must therefore have learnt too many crucial lessons from previous catastrophes to be still engaging in guesswork.


Where are our urban planning and development wizards and the authorities they are working under? What are they doing? Any lessons learnt from the numerous “study tours” they have been making to mega-cities in different parts of the world?


SOURCE: THE GUARDIAN
 
The Mercer Human Resource Consulting company has made a list of the dirtiest cities in the world, basing on the data on the level of air impurity, waste recycling, the potability of water, the availability of hospital services, medical supplies and the existence of contagious diseases in 215 large localities of the world.

1. Baku, Azerbaijan. The pollution index: 27.6. There is registered the high level of pollution due to the oil production.

2. Dhaka, Bangladesh. The pollution index: 29.6. There is registered the high level of water pollution.

3. Antananarivo, Madagascar. The pollution index: 30.1.

4. Port-au-Prince, Haiti. The pollution index: 34.

5. Mexico City, Mexico. The pollution index: 37.7.

6. Addis Ababa, Ethiopia. The pollution index: 37.9.

7. Mumbai, India. The pollution index: 38.2. The recovery of the ecology of the city will require at least 1 billion dollars.

8. Baghdad, Iraq. The pollution index: 39. The military actions in Iraq and burning of oil deposits have lead to the air pollution in the city.

9. Almaty, Kazakhstan. The pollution index: 39.1.

10. Brazzaville, Congo. The pollution index: 39.1. It is registered the high level of air pollution, the lack of potable water, and the pollution of city water with wastes here

11. N’Djamena, Chad. The pollution index: 39.7.

12. Dar es Salaam, Tanzania. The pollution index: 40.

13. Bangui, Central African Republic. The pollution index: 42.1.

14. Moscow, Russia. The pollution index: 43.4. According to Forbes magazine, in the city, where the rental fee exceeds $3 thousand a month, there is lack of normal tap water, and the level of air pollution exceeds the allowable limits.

15. Ouagadougou, Burkina Faso. The pollution index: 43.4.

16. Bamako, Mali. The pollution index: 43.7.

17. Pointe Noire, Congo. The pollution index: 43.8.

18. Lome, Togo. The pollution index: 44.1.

19. Conakry, Republic of Guinea, The pollution index: 44.2.

20. Nouakchott, Mauritania. The pollution index: 44.7.

21. Niamey, Nigeria.* The pollution index: 45. Approximately every fourth child in this town dies before he reaches the age of 5.

22. Luanda, Angola. The pollution index: 45.2

23. Maputo, Mozambique. The pollution index: 46.3

24. New Delhi, India. The pollution index: 46.6.

25. Port Harcourt, Nigeria. The pollution index: 46.8.

And, the cleanest city in the world was claimed to be Canadian Calgary, whose pollution index constituted 131.7 points.
 
maji100508.jpg

Maji100508.JPG

Magari na watu wakipita katika maji yalituama kwenye barabara za Bibi Titi Mohammed na Morogoro baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko katika maeneo kadhaa ya Jiji la Dar es Salaam leo. (Picha na Victor Berege)

Akiba100508.JPG

Dar es salaam residents negotiate their way through the flooded section of Bibi Titi Mohamed Street following heavy rains that caused floods in several parts of the city today. (Photo by Victor Berege)

hii ni miaka miwili iliyopita! Hivi ni lini tutajifunza?
 
05_10_hkfbmu.jpg
Dar es salaam as commuters find themselves in a tight situation along Azikiwe street. On one side they have a wall, the other side daladala buses and the only pathway is a pool. (Photo by Muhidin Issa Michuzi)

The Govt is still waiting for financial aid from "nchi wafadhili" to take care of this problem.
 
05_10_0rhnzx.jpg

Mkazi wa Dar es Salaam mwenye ulemavu akivushwa katika toroli katika mto Msimbazi eneo la Vingunguti jana kufuatia mvua kuvunja daraja la muda la Vingunguti hivi karibuni. (Picha na Mroki Mroki).

Maisha bora kwa kila Mbongo!!!
 
CITY FATHERS WHERE ARE YOU?
05_10_s51txh.jpg
Motorists negotiate through flooded Azikiwe Street in the heart of Dar es Salaam City after it rained for a few minutes earlier this week due to poor drainage system.(Photo by Robert Okanda)
 
hivi zile drainage systems zilizokuwa zikiwekwa ndio nazo zimezidiwa au?..................inatia hasira sana kwa kweli.............ma-injinia vipi jamani.......
 
hivi zile drainage systems zilizokuwa zikiwekwa ndio nazo zimezidiwa au?..................inatia hasira sana kwa kweli.............ma-injinia vipi jamani.......

Drainage system ni ya miaka ya 60 ambapo population ya Dar ilikuwa haifiki hata 200,000 sasa watu wameachiwa kujenga kiholela na jiji kupanuka sana lakini hakuna aliyekumbuka kupanua drainage system ili iweze kuhimili vishindo vya kukua kwa jiji kwa majengo na population anbayo ni zaidi ya 4 millioni matokeo yake mvua kubwa ya nusu saa tu Indian Ocean inahamia katika mitaa ya jiji. Ikitokea mvua kubwa kwa muda wa wiki kutakuwa na maafa makubwa sana. GOD FORBID!
 
Back
Top Bottom