LadyMzuri
Member
- Jun 30, 2008
- 50
- 12
Wananchi mpaka tuamke na kurealise we are the ones who can make the difference, hamna kitakachofanyika...tutafanya manuevering barabarani na kupanda juu ya maboneti ya magari kila masika, kiangazi kikija tunatimuliana vumbi, barabara zitavalishwa viraka for a while until another masika and the story continues...Watanzania sijui tumelishwa nini?
Wepesi wa kusahau na wagumu wa kuhoji kwa nn hii inakuwa hivi.
Mungu kwa kweli azidi kutusaidia, tuanzekufunguka ufahamu wetu na hekima zetu, tunapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo tuwetayari kusimamia sheria (kwanza tuzijue...) na kudai maadili mema kwa watendaji...
Mtu unakesha barabarani masaa manne, kisa ni barabara imejaa maji? Honestly? Kweli and we say we are moving in the right direction, a distance of 20 minutes you spend four hours? Really??
Wachumi wanchi hii wameshawahi kufanya cost efficiency or whatever they call it kujua what is lost as result of unnecessary traffice jams...among other things?
Pale May Fair plaza - is a swampy area ndio kumejengwa na watendaji wa jiji walikuwa wanaona, wananchi walijipatia vibarua (hopefully) lakini mkondo wa maji wala njia yake hawakuzingatia now its a never ending situation mvua zikinyesha...
Aaah....kwakweli we dont have a long way to go...cause as it is we are not moving at all!!!