Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,799
- 4,195
Asante Mungu.. Hakuna kitu kinakera kama hawa ndugu zetu wanapita asubuhi na makelele mengiii watu weekend ndio tunapumzika.. Nilikuwa naudhika sana..
Pita kimya kimya fika uwanjani au baharini fanya mazoezi ukimaliza rudi kwenu... Watu wanaacha uwanja temeke wakuja posta mazoezi gani hayo.
Pita kimya kimya fika uwanjani au baharini fanya mazoezi ukimaliza rudi kwenu... Watu wanaacha uwanja temeke wakuja posta mazoezi gani hayo.