DAR: Polisi yapiga marufuku mazoezi ya kukimbia 'Jogging' barabarani bila kupata vibali

Hili jambo ni sawa kabisa Kwani walikuwa wanahatarisha maisha yao......

Watafutiwe utaratibu mwingine wa kufanya mazoezi kwa usalama wao....
 
Safi sana, itapunguza usumbufu usio wa lazima.....Kuna viwanja vya mipira waende huko kuzunguka sio kutafuta kiki mabarabarani kujihatarisha na kuhatarisha watumiaji wa vyombo vya moto. Katazo limechelewa saaaaaana ila afadhari sasa
 
Jamani ....,sasa hii Miili yetu hasa kina dada bila mazoezi itakuwaje!!‍♀️
Bado unaweza kukimbia mtu mmoja au wawili ila sio kundi Kama ilivyo sasa

Sasa unaweza kuta group kubwa la watu wanafanya mazoezi Katikati ya Barabara bila kujali kwamba wanaingilia shughuli za watu wengine
 
Watu waache kufanya mazoezi.Wale chipya mayai walale tu makwao.
 
Bado unaweza kukimbia mtu mmoja au wawili ila sio kundi Kama ilivyo sasa

Sasa unaweza kuta group kubwa la watu wanafanya mazoezi Katikati ya Barabara bila kujali kwamba wanaingilia shughuli za watu wengine
Hii inakera sana
 
Sawa kabisa..mana wanahozi barabara,wanakimbia bira utaratibu,wabishi.ata kama wameruhusiwa kufanya jogging utaratibu ufatwe,wanagongwa sn barabara kwa kukosa muongozo.
 
Lakini Mnakimbiaje Barabarani zaidi ya Watu 20 bila convoy ya Polisi ...ni Hatari sana ...kwanza inadisturb watumiaji wengine ...
 
Mbona walichelewa sana kuwafungiwa? hata hvyo vibali visitishwe, wanasababisha jum barabarani bila sababu za msingi

kuna viwanja, kuna maeneo ya kufanyia mazoezi waende huko
 
Kwa wale ambao ni wa mkoani watadhani hawa wakimbiaji wanaonewa, kwa kweli wanakuwaga kero.
 
Anaefikiri kwa umakini na ukioanisha na hio picha ya jogging hapo utagundua kua kuna ulazma wa kupata kibali ili muweze kupatiwa kibali cha kupita barabara husika bika kusababusha foleni na msongamano wa vyombo vya usafiri na pia kwa usalama wenu ikiwezekana polisi au vyombo vya usalama kwa ujumla kuweza kuwapa escort!
Hawa jamaa huwa ni kero halafu wababe barabarani.
 
Minion nfiyo mchezo pekee unsoeezs kututoa kimaso maso marathon na Olympic
 
Back
Top Bottom