Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

nyie ndio wapuuzi kweli, eti redio Imaan ndio chanzo cha vurugu, mbona hamsemi hizo redio Maria, Tumaini, n.k

roho inawauma kuona waislamu wana redio yao na inapatikana sehemu kubwa ya nchi tu, basi ishakuwa sooo..

hivi nyie wakristo mna matatizo gani na taasisi za kiislamu? mkishaona taasisi ya kiislamu ipo imara roho zinawauma, mumezoea kuona taasisi za waislamu mbofu mbofu km za bakwata ambazo viongozi wake mumewaweka nyie..

mbona waislamu hawahangaiki na taasisi zenu? ni muislamu gani umemsikia anasema taasisi fulani au redio ya wakristo ifungwe?

acheni ujinga wenu, fanyeni mambo yenu acheni taasisi za kiisalamu km ambavyo waislamu hawahangaiki na taasisi zenu...

nafikiri mkuu hujafiri vya kutosha basi Radio imani haitakiwi kabisa kuzungumzia na kukashifu dini nyingine kama inavyo fanya sasa itoe mafundisho kwa waamini wako inavyohitajika,na hilo gazeti la alnuura liache uchochezi haijawahi tokea na haita tokea kusikia Radio au magazeti ya kikristo yana wasema waislam kama unaushahidi anika hapa jukwaani si kutukanatukana hapa.
 
iwe marufuku dini moja kujadili mambo ya dini nyingine.uchochezi kama wa radio imani uzuiwe kabisa au radio yenyewe ifungwe.kwao wao ile ni ajira wanapigwa marufuku Dar wanachagua pori jingine hasa MOROGORO.IWE NI MARUFUKU NCHI NZIMA.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.

hapo penye nyekundu pana maana gani? Je kukiwa na amani watu wanaruhusiwa kukashifu imani nyingine?
 
iwe marufuku dini moja kujadili mambo ya dini nyingine.uchochezi kama wa radio imani uzuiwe kabisa au radio yenyewe ifungwe.kwao wao ile ni ajira wanapigwa marufuku Dar wanachagua pori jingine hasa MOROGORO.IWE NI MARUFUKU NCHI NZIMA.

ukiristo umeongelewa katika msahafu,yesu pia ameongelewa.vipi utawawekea mipaka waislam wasiongelee.ukiristo haumtaji mtume wa waislam wala dini ya kiislamu na sababu ni kwamba ukristo ulitangulia kabla ya uislamu.hivyo hakuna kitabu cha wakristo kinaongelea uislam na hawana haki ya kuongelea uislam .lakni waislamu wanayo haki ya kuongelea ukristo.
 
Hapo mkuu wa mkoa atakuwa ameongeza vibaka maana Yesu si Mungu ndiyo ilikuwa ajira yao ya kukusanya sadaka

Bila sadaka za wakristu waislam msingepata huduma za shule, hospitali na vyuo vikuu
 
nafikiri mkuu hujafiri vya kutosha basi Radio imani haitakiwi kabisa kuzungumzia na kukashifu dini nyingine kama inavyo fanya sasa itoe mafundisho kwa waamini wako inavyohitajika,na hilo gazeti la alnuura liache uchochezi haijawahi tokea na haita tokea kusikia Radio au magazeti ya kikristo yana wasema waislam kama unaushahidi anika hapa jukwaani si kutukanatukana hapa.
Mkuu, hapo ndio penye tatizo KUBWA MNO! Wana wa Mungu lazima tufahamu kwamba uislamu ulivyo hauwezi kusimama bila kuuchokoza na kuusema Ukristo! Yaani ni sawa na kumtoa samaki kwenye maji na kumuweka nchi kavu hawezi kuishi! Na kwa vile imani yao ni photo copy Mkristo anapoonyesha uhalisia, hapo uislamu unashindwa hoja na wanaanza ghazab kuchana Biblia, kurusha mawe na kuchoma makanisa! Ona Ukristo kwa sababu ni halisi na sio cp UMETULIA HAUNA HOFU!
 
ukiristo umeongelewa katika msahafu,yesu pia ameongelewa.vipi utawawekea mipaka waislam wasiongelee.ukiristo haumtaji mtume wa waislam wala dini ya kiislamu na sababu ni kwamba ukristo ulitangulia kabla ya uislamu.hivyo hakuna kitabu cha wakristo kinaongelea uislam na hawana haki ya kuongelea uislam .lakni waislamu wanayo haki ya kuongelea ukristo.

Jesus is great, quaran imemtaja jina lake mara 25, wakati mohammed mara 4 tena kwa matukio ya kuua watu nk. Kwa sababu ya ubaguzi waarabu wakaamua kumpa mohammed utukufu kwa kuwa ni mwarabu mwenzao. Kuna waislam wengi hawajui jambo hili. Someni mjue ukweli
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.

Nafikiri Huyu Sadiki hajisadiki maneno yake. Naona ni wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa mahututi. Eti mpaka hapo hali itakapokuwa shwari waendelee tena then vurugu tena, then mauwaji tena,then what?????????? JK anawatoaga wapi hawa watu???? mbona legelege tuu
 
Ingekuwa vyema MKuu wa mkoa aweke wazi ana maana gani "mihadhara ya kidini"

Na vyombo gani wanalenga kuhusiana na uchochezi? Bila kuwa specific tamko hii haina nguvu kabisa!

Yeye mwenyewe muislamu, tamko lenyewe dhaifu. Bora angetoa msimamo tujue. Tamko hata mimi naweza toa ingawa halitakuwa tamko la serikali.
 
kauli na majibu yanayotolewa na wakristo humu Jf ni ya kukera mno, kwa hali hii tunakoelekea kitaeleweka tu.

Mwanangu aliniuliza, hili mwislam aende peponi inabidi aue watu wangapi?, nikamwambia mwanangu kua uyaone maana hata sisi hatujui wanafundishwa nini
 
Ajira wamepatiwa kwa kuwa Mihadhara ni ya Jobless People
 
Kwa vyombo vya habari vya Mzizima sawa lakini Radio IMANI ya Morogoro JE? Maana hiyo ndio radio YAO.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.
 
ukiristo umeongelewa katika msahafu,yesu pia ameongelewa.vipi utawawekea mipaka waislam wasiongelee.ukiristo haumtaji mtume wa waislam wala dini ya kiislamu na sababu ni kwamba ukristo ulitangulia kabla ya uislamu.hivyo hakuna kitabu cha wakristo kinaongelea uislam na hawana haki ya kuongelea uislam .lakni waislamu wanayo haki ya kuongelea ukristo.
ukiwa na akili safi utauongelea ukristo in a postive manner,lakini ukiwa unapenda shari utaendelea kusema YESU SIYO MUNGU huku ukijua haikusaidii kitu maana wao walishaamini hivyo hata kabla dini yako haijaja. ni kama kuwaambia leo hii NGURUWE SIYO nyama wakati ukweli wote wanaujua.invest muda wako katika mambo ambayo unaona yatakuletea tija. ila kama unao muda wa kuchezea endelea kusema YESU SIYO MUNGU NA MARIAMU SI CHOCHOTE SI LOLOTE.Ni kama mnajifurahisha nafsi kuondoa frusrations fulani.
 
Kashfa ni nini kwa mtazamo wa RC na wengine,kama leo utawaambia wakristo wasiamini kuwa yesu si mungu utakuwa umewakashifu na kuwaingilia katika imani yao, vivyo hivyo ukiwaambia waislamu waamini kuwa Yesu (nabii Issa) ni mungu utakuwa umewakashifu na kuwapangia njia ya kuamini. kikubwa zaidi hapa ninaona huyo RC Anataka kusiwe na kuamini katika Tanzania kwa kuja na tamko lake lililokosa miguu
 
Kama kweli Meck Sadick kasema hivyo ana matatizo ya kufikiri.Lazima aweke comment hiyo sawa,vinginevyo atakuwa ameruhusu Waislam kukashifu dini zingine.
hapo penye nyekundu pana maana gani? Je kukiwa na amani watu wanaruhusiwa kukashifu imani nyingine?
 
Hakuna haja ya kuzuia watu kukusanyika na kuongea wanachoongea ndio maana ya nchi kuwa huru,ukianza kuzuia watu kuongea na kukusanyika ujue na upande mwingine wanaweza kutumia sheria hiyohiyo kuzuia upande mwingine usiongee wala kukusanyika,cha muhimu weka ulinzi wa kutosha na vurugu zozote zijibiwe kwa adhabu kali sana.
 
ukiristo umeongelewa katika msahafu,yesu pia ameongelewa.vipi utawawekea mipaka waislam wasiongelee.ukiristo haumtaji mtume wa waislam wala dini ya kiislamu na sababu ni kwamba ukristo ulitangulia kabla ya uislamu.hivyo hakuna kitabu cha wakristo kinaongelea uislam na hawana haki ya kuongelea uislam .lakni waislamu wanayo haki ya kuongelea ukristo.

Mnachoudhi ni kutumia Biblia kuuhubiri uislamu wakati mna kitabu chenu kitukufu chenye torati, injili, zaburi, nk. Hubirini usilamu kwa kutumia Quran yenu na si Biblia. Biblia si kitabu chenu. Mnapotumia Biblia (kitabu kitakatifu cha wakristo) kuhubiri uislamu na kutukana ukristo mnakuwa mnakashifu ukristo. Naamin mkihubiri juu ya Issa bin Mariam wa kwenye Quran hakuna atakayewauliza kwani ni sawa kabisa mnamzungumzia Issa wenu aliye katika Quran tukufu na si Yesu wa kwenye Biblia Takatifu.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.

Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.Alipoulizwa hali itakapokuwa shwari waendelee alisema , katiba inaruhusu uhuru wa maoni ambao hauhatarishi amani ya nchi.


Mbona MLISUBIRI MUDA MREFU? NCHI yoyote yenye DEMOKRASIA ya KWELI... Mambo ya DINI sio ya HADHARANI

NI NDANI MSIKITINI AU KANISANI... HADHARA unaomba KIBALI sio lazima MPATE
 
Back
Top Bottom