Dar: Mfanyabiashara Mohammed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Hivi serikali ni nini? na viongozi walioko serikalini ni nini?
Ondoa utumbo wako hapa.
Huyu ndugu yetu inaelekea hajui tafsiri sahihi ya serikali...labda tumsaidie according to civics form two "government is the group of people with authority to run matters of the nation" sasa anatofautishaje watoa maamuzi wachache ambao kwa mujibu wake anawainxclude kwenye ajenda lakini anakataa serikali haiusiki...!? Elimu,elimu,elimu laiti tungekuwa nayo huyu adui mjinga angetuondoka tukabakia na akili za kuchambua mambo.
 
Katafuteni pesa sasa walahi
Mijitu mizima kumwongelea mwanaume mwenzenu siku 14 hamchoki, imbeciles walahi
Usipangie watu kitu cha kufanya nguruwe wewe.

Imbeciles ni wewe na ukoo wenu wote! Swain.
 
Ni Furaha kwa watanzania walio wengi kupatikana kwa Mo pia ni kushukuru mwenyezi mungu kupatikana kwa Mo akiwa salama

Kwanza mods naomba Uzi wangu uheshimike maana ni maoni ya watanzania walio wengi

Bila kumumunya maneno,serikali hahusiki katka utekaji wa Mo lakin kuna kikundi kinafanya hii kazi ya utekaji chini ya viongozi waliopo serikalini

Kwa mazingira yaliyopo sasa hadi Mo kupatikana kuna watu waliomo serikalini wanahusika kwenye hili tukio

Mazingira,gari kukimbia dakika 15 na kuishia kwenye chumba maalumu

Mo kupatikana kwenye mazingira yenye ulinzi Gymkhana na barabara ambalo limetumika kumfikisha hapo aliko patikana

Kutekwa kwa Roma na mpaka sasa hajawahi kusema watekaji ni nani,na kuna kiongozi alitoa kauli siku ya kupatikana kwa Roma

Baada ya kuandamwa na kodi pale bandarini kibinadamu mhusika hakujisikia vizuri na ukweli ni kwamba ile kodi ilimshushia heshima kuonekana kuwa hana hela ya kulipia mzigo wake

Alichokifanya ni kumteka Mo ili aombe hela awe na hela,yule Kijana anataka sifa na anataka asionekane kuwa hana hela

Lakini imesanuka,movie imefeli kabla ya kukamilika

Kama alitaka kuteka kituo cha Clouds kwa silaha nzito kwa nini asihusike kwenye hili?

Ombi kwa Rais, mwanaye anaichafua serikali, achukue hatua

Asilimia 90 kwenye mitandao,na mitaani,kura za ndio zinaenda kwa mtu huyu
Sana sana ni umbea umeandika mchafu wa maneno
 
Ni Furaha kwa watanzania walio wengi kupatikana kwa Mo pia ni kushukuru mwenyezi mungu kupatikana kwa Mo akiwa salama

Kwanza mods naomba Uzi wangu uheshimike maana ni maoni ya watanzania walio wengi

Bila kumumunya maneno,serikali hahusiki katka utekaji wa Mo lakin kuna kikundi kinafanya hii kazi ya utekaji chini ya viongozi waliopo serikalini

Kwa mazingira yaliyopo sasa hadi Mo kupatikana kuna watu waliomo serikalini wanahusika kwenye hili tukio

Mazingira,gari kukimbia dakika 15 na kuishia kwenye chumba maalumu

Mo kupatikana kwenye mazingira yenye ulinzi Gymkhana na barabara ambalo limetumika kumfikisha hapo aliko patikana

Kutekwa kwa Roma na mpaka sasa hajawahi kusema watekaji ni nani,na kuna kiongozi alitoa kauli siku ya kupatikana kwa Roma

Baada ya kuandamwa na kodi pale bandarini kibinadamu mhusika hakujisikia vizuri na ukweli ni kwamba ile kodi ilimshushia heshima kuonekana kuwa hana hela ya kulipia mzigo wake

Alichokifanya ni kumteka Mo ili aombe hela awe na hela,yule Kijana anataka sifa na anataka asionekane kuwa hana hela

Lakini imesanuka,movie imefeli kabla ya kukamilika

Kama alitaka kuteka kituo cha Clouds kwa silaha nzito kwa nini asihusike kwenye hili?

Ombi kwa Rais, mwanaye anaichafua serikali, achukue hatua

Asilimia 90 kwenye mitandao,na mitaani,kura za ndio zinaenda kwa mtu huyu
Msimsingizie bashite..! Wapuuzi nyie..
 
Yule kijana siku ile aliposema ndugu yetu Mo kapatikana alifikiri ashasaini ile check ya BILIONI 2 baadae kastuliwa kuwa Mo hajasaini ilibidi atuambie tumemnukuu vibaya .
Wamemlazimisha week yote asaini mpaka jana wakaona isiwe nongwa ngoja tumuachie hata hiki kidogo kinatosha japo sio walivyotegemea.
Shetani wewe umbea tu
 
mwandishi wa kitabu cha "AN ENEMY OF THE PEOPLE " alisema
"The majority are sometimes wrong"
ila yote yanawezekana
 
Naona baada ya Mo kupatikana sasa hawa watumishi wasanii wameanza kujitafutia kiki ili kuongeza umaarufu wao
IMG_20181020_190327_505.jpeg


Kama kweli ulionyeshwa katika ulimwengu wa kiroho kwa nini haukutangaza mapema ili upate billioni moja, umeona jamaa kapatikana na wewe umepata pa kutafutia kiki, naunga na Paul kagame aisee kuhusu hawa wachungaji wasanii wanatakiwa wachunguzwe sana la sivyo wataendelea kuwatapeli watu tu

Na kama unajua unyama aliotendewa Ben saanane basi unatakiwa ukaisaidie polisi na si vinginevyo.
 
hahahaha pale kijana anapoanza papasa makalio ya boss wake...... fire and fury sijui nimepatia ile ya bwana trump
 
Back
Top Bottom