Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Katekwa tena?
Msilie. Hii ni taarifa ya siku nyingi Sana.Singida tunalia
Kuku wewe...!! Mo alikuwa kodiHiyo ilikuwa ni moja ya legacy ya huyo dikteta John Pombe Joseph Magufuli, kuteka, kujeruhi na hata kuua. Amefanikiwa kukwepa haki hapa duniani lakini kwa Mungu hatakwepa.
Hakutaka Ujinga Aliwatwanga RisasiYule mfanyabiashara kule Tarime yeye aliwapiga Risasi bila msaada wa bodyguard iweje yeye ashindwe kujihami?