johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Aliyekuwa mbunge wa Singida mjini Mohamed Dewji amesema Ijumaa ya Leo anawakumbuka Waafrika wenzake waliomuombea alivyotekwa Nyara na Kwamba atawashukuru Milele
Mo Dewji amesema ni Lazima kurudisha shukrani kwa Jamii
Shukrani amezitoa kupitia Ukurasa wake wa X
Mo Dewji amesema ni Lazima kurudisha shukrani kwa Jamii
Shukrani amezitoa kupitia Ukurasa wake wa X