Sanabange mbaya sana
Sanabange mbaya sana
Umasikini hauko mifukoni bali uko kichwaniKwanza tupate history ya hizo b50,je ni fedha za halafu??halafu? Je utajiri huo haukujengwa kwenye fedha za dhuluma na maangamizi ya Mali asili za watanzania? Je agustino Mrema alikuwa anapambana na Nani alipokuwa waziri wa mambo ya ndani miaka hiyo?
Nimesoma comment nyingi zikimsifu huyu mtu,sitaki niijingiZe kwenye ujinga uliojaa kwenye vichwa vya watanzania kusifu wenye fedha bila kujua background yao,,,
Taarifa za awali za wahusika wa utekaji wa Mo zimeanza kupatikanaSiku ya saba sasa mo is nowhere to be found
Wategemea ndumba wataibika vibaya, Lkn Mungu uruhusu haya kuwanyima akili ili waabikeTaarifa za awali za wahusika wa utekaji wa Mo zimeanza kupatikana
CCTV: American Intelligence Groups Currently Looking Into Kidnapping Of Tanzanian Billionaire Mohammed Dewji As Kenyan Lady Muthoni Gathithu Questioned
Hao walianza kutafuta hela toka enzi ya mkoloni wakati vizazi vyako vinawaza ngono wao wanawaza Pesa, umasikini ni matumizi mabaya ya akili.Ukiitumia vizuri unakuwa tajiri. Soma history ya Tanganyika na Utajiri wa wahindi. Ukisoma degree ya Nyuki huwezi elewa Zaid kama umesoma historyKwanza tupate history ya hizo b50,je ni fedha za halafu??halafu? Je utajiri huo haukujengwa kwenye fedha za dhuluma na maangamizi ya Mali asili za watanzania? Je agustino Mrema alikuwa anapambana na Nani alipokuwa waziri wa mambo ya ndani miaka hiyo?
Nimesoma comment nyingi zikimsifu huyu mtu,sitaki niijingiZe kwenye ujinga uliojaa kwenye vichwa vya watanzania kusifu wenye fedha bila kujua background yao,,,
Slavery mentality....!!!Hao walianza kutafuta hela toka enzi ya mkoloni wakati vizazi vyako vinawaza ngono wao wanawaza Pesa, umasikini ni matumizi mabaya ya akili.Ukiitumia vizuri unakuwa tajiri. Soma history ya Tanganyika na Utajiri wa wahindi. Ukisoma degree ya Nyuki huwezi elewa Zaid kama umesoma history
U r not informed palSiku ya saba sasa mo is nowhere to be found
Anaandaa nondo labda kuzitetea hizo Picha za kudownloadMzee wa fact,Le mbebeez Le mobimba Le degree in Criminology and Psychology le baharia Le Mkitambi Le Msemaji wa Bashite Le forever young !Haja comment chochote kuhusu picha ya gari la mateka.