Acha kutukna makabila ya watu mpuuzi wewe!
safi sana nimeipenda
Wanajamii, niko Dar, sijakutana na Mwita Maranya.....ushamba umenitoka kwa sehemu fulani. nimeshuhudia matukio fulani fulani. nilifika hapa tangu tarehe 2.11.2012 nitaondoka tarehe 16.11.2012
Asante kwa wale walionipigia, tumeongea nimefurahi sana, mambo ya Dar ni makubwa
Yafuatayo ndiyo niliyoyashuhudia, Nikiongozwa na family friend wetu Khadija Mzanzibari, ni matukio ya siku tofauti tofauti, sio ya siku moja:
Temeke pale Sokota: Lori kubwa lililobeba kontena lilimkanyaga kondakta wake mguu umesagika, lilikuwa linapaki na yeye analiongoza.
Temeke eneo la KISUMA night Club: nyama ya mbuzi siyo fresh, machangudoa wote na mashoga bila kificho, Sijaona usalama wa kutosha jioni...kujiuza kwa wadada na wakaka ni jambo la kawaida hapo.
Tandale Sokoni: Vibaka wasio na uzoefu wakiwasachi watu
Nyuma ya The Girafe Hotel: Hapo kuna mtaa unaitwa Sudan, Nyumba imejengwa ina vyumba vidogo vidogo sana, wadada warembo wamekaa kila mtu mbele ya chumba chake kusubiria wateja. Ukifika hata usipoongea na yeyote we unaingia tu ndani na yule aliye mbele ya chumba chake anakufuata. Cha ajabu niliambiwa wote ni wahaya, na Mwenye hiyo nyumba kazi yake ni kuwasaidia kutafuta wateja. Wanakupa bei ya matumizi ya bila condom, matumizi ya condom, matumizi ya "njia ya haja kubwa" ila bei ni kuanzia TZS 2000 tu.
Sunrise Beach Resort, Kigamboni: niko na wife, nimepaki gari eneo sahihi akaja mdada mzuri sana na kuniambia kwa sauti ya upole "kaka unaweza kunipisha nipaki kwani hili ni eneo langu la siku zote, kabla sijajibu akapotea, nilishangaa sana.Tukahamia Kipepeo Beach Resort.
Tausi Guest House (Kwa nje) Kinondoni Morocco: Khadija Mzanzibari anatamani kitu, anashindwa kuniambia live,.."shem mi kuna kitu nakitamani sana" nini tena shem, namuuliza. yeye anaguna, halafu nami naanza kupata wasiwasi. "mpigie mkeo atakwambia, yeye nilishamwambia". Napata ahueni, nampigia wife, hayuko mbali, kaenda mara moja crdb bank kwa manyanya,,, "dad si nakuja" ananijibu. Khadija ananipa stori za Zanzibar, tunapata kinywaji,....wife huyu hapa kafika...."dad ni kweli Khadija alinieleza kitu, tumkubalie tu.....tunaondoka hadi Mbagala Annex, kwa Mr D. Tunaagiza chakula, na Khadija anaagiza chakula chake akipendacho...anakifurahia sana, "anasema now we can talk"
DarLive Ukumbini, Mbagala: Mrembo mmoja amelewa mchana na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine eti joto limezidi. Mara huyo kasimama ananiuliza "anko vipi, si ukanipe kimoja tu, namuuliza nini, ananiangalia...Khadija Mzanzibari akamuuliza"mbona unachotaka kumpa mi tayari nimeshampa?" yeye akajibu "ina maana utamu wote umeupata mwenyewe...kicheko pande zote, mi kimya.kidogo wife huyu hapa."dad twende zetu mambo ya Dar hutayaweza.
Temeke eneo la Kanisa la Wasabato: Nashuhudia umati mkubwa wa watu wakielekea usawa wa Temeke Hospital, eti kuna mtu amefumaniwa na mke wa mtu wakifanya mapenzi halafu wameng'ang'aniana...mara polisi hawa hapa, mabomu ya machozi kama kawaida.
Bado naendelea na michakato.
Huyu kijana kavaa shati jeupe, suruali ya kadet na sendos, ana mapozi sana........mke wake huyu au? Huyu ni Riz1 na huyu dada anaitwa Maimatha Jesse, naambiwa alikuwa miss.....na huyu ni mtoto wao, yaani mtoto analindwa hivi?!!!! Dar Live si ya Shigongo Erick, ni ya Riz1 Kikwete.................usiulize mmiliki mwingineWanajamii, niko Dar, sijakutana na Mwita Maranya.....ushamba umenitoka kwa sehemu fulani. nimeshuhudia matukio fulani fulani. nilifika hapa tangu tarehe 2.11.2012 nitaondoka tarehe 16.11.2012
Asante kwa wale walionipigia, tumeongea nimefurahi sana, mambo ya Dar ni makubwa
Yafuatayo ndiyo niliyoyashuhudia, Nikiongozwa na family friend wetu Khadija Mzanzibari, ni matukio ya siku tofauti tofauti, sio ya siku moja:
Temeke pale Sokota: Lori kubwa lililobeba kontena lilimkanyaga kondakta wake mguu umesagika, lilikuwa linapaki na yeye analiongoza.
Temeke eneo la KISUMA night Club: nyama ya mbuzi siyo fresh, machangudoa wote na mashoga bila kificho, Sijaona usalama wa kutosha jioni...kujiuza kwa wadada na wakaka ni jambo la kawaida hapo.
Tandale Sokoni: Vibaka wasio na uzoefu wakiwasachi watu
Nyuma ya The Girafe Hotel: Hapo kuna mtaa unaitwa Sudan, Nyumba imejengwa ina vyumba vidogo vidogo sana, wadada warembo wamekaa kila mtu mbele ya chumba chake kusubiria wateja. Ukifika hata usipoongea na yeyote we unaingia tu ndani na yule aliye mbele ya chumba chake anakufuata. Cha ajabu niliambiwa wote ni wahaya, na Mwenye hiyo nyumba kazi yake ni kuwasaidia kutafuta wateja. Wanakupa bei ya matumizi ya bila condom, matumizi ya condom, matumizi ya "njia ya haja kubwa" ila bei ni kuanzia TZS 2000 tu.
Sunrise Beach Resort, Kigamboni: niko na wife, nimepaki gari eneo sahihi akaja mdada mzuri sana na kuniambia kwa sauti ya upole "kaka unaweza kunipisha nipaki kwani hili ni eneo langu la siku zote, kabla sijajibu akapotea, nilishangaa sana.Tukahamia Kipepeo Beach Resort.
Tausi Guest House (Kwa nje) Kinondoni Morocco: Khadija Mzanzibari anatamani kitu, anashindwa kuniambia live,.."shem mi kuna kitu nakitamani sana" nini tena shem, namuuliza. yeye anaguna, halafu nami naanza kupata wasiwasi. "mpigie mkeo atakwambia, yeye nilishamwambia". Napata ahueni, nampigia wife, hayuko mbali, kaenda mara moja crdb bank kwa manyanya,,, "dad si nakuja" ananijibu. Khadija ananipa stori za Zanzibar, tunapata kinywaji,....wife huyu hapa kafika...."dad ni kweli Khadija alinieleza kitu, tumkubalie tu.....tunaondoka hadi Mbagala Annex, kwa Mr D. Tunaagiza chakula, na Khadija anaagiza chakula chake akipendacho...anakifurahia sana, "anasema now we can talk"
DarLive Ukumbini, Mbagala: Mrembo mmoja amelewa mchana na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine eti joto limezidi. Mara huyo kasimama ananiuliza "anko vipi, si ukanipe kimoja tu, namuuliza nini, ananiangalia...Khadija Mzanzibari akamuuliza"mbona unachotaka kumpa mi tayari nimeshampa?" yeye akajibu "ina maana utamu wote umeupata mwenyewe...kicheko pande zote, mi kimya.kidogo wife huyu hapa."dad twende zetu mambo ya Dar hutayaweza.
Temeke eneo la Kanisa la Wasabato: Nashuhudia umati mkubwa wa watu wakielekea usawa wa Temeke Hospital, eti kuna mtu amefumaniwa na mke wa mtu wakifanya mapenzi halafu wameng'ang'aniana...mara polisi hawa hapa, mabomu ya machozi kama kawaida.
Bado naendelea na michakato.
Niko mjini maeneo ya Exim Bank,karibu kabisa na jengo la kitega uchumi...pembeni kuna jengo la E.H....nakaribishwa na .....huyu dada S, ananieleza kuwa Martha alifukuzwa kazi kwa kutoa siri za boss wake E.H kuwa ni shoga..alaaaaaaaaaa kumbe ni kweli Sophia ananipa ukweli na jinsi boss anavyoliwa na eneo lenyewe.......Dar kuna vituko jamani, naogopa hata ku-reveal jina langu humuHuyu kijana kavaa shati jeupe, suruali ya kadet na sendos, ana mapozi sana........mke wake huyu au? Huyu ni Riz1 na huyu dada anaitwa Maimatha Jesse, naambiwa alikuwa miss.....na huyu ni mtoto wao, yaani mtoto analindwa hivi?!!!! Dar Live si ya Shigongo Erick, ni ya Riz1 Kikwete.................usiulize mmiliki mwingine
Niko mjini maeneo ya Exim Bank,karibu kabisa na jengo la kitega uchumi...pembeni kuna jengo la Erdward Hosea....nakaribishwa na Sophia, ananieleza kuwa Martha alifukuzwa kazi kwa kutoa siri za boss wake E.H kuwa ni shoga..alaaaaaaaaaa kumbe ni kweli Sophia ananipa ukweli na jinsi boss anavyoliwa na eneo lenyewe.......Dar kuna vituko jamani, naogopa hata ku-reveal jina langu humu
haya ni ya kweli mkuu idawa, ukifika Dar fika eneo hilo au ofisini kwake, kuna lawyers wake kama wanne hivi......
huna maana kweli wewe! yaani Dar umeona mambo hayo tu, inaonesha we mwenyewe unafuatilia ishuzi gani.
Siku zote huwa nasema tukipata watu kama Mkuu idawatutakuwa na maendeleo. Ni kweli mkuu kuna mambo mengi, sababu za kuweka uzi huu si mbaya hata kidogo, na si kwamba hivi ndio vitu navifuatilia...hapana ila ni katika pita pita zangu nakutana na mambo haya.Tatizo wabongo kujifanya mko siriazi kumbe hamna lolote..naamini sio kwamba anafuatilia hizo hizo habari,ila ni matukio ambayo anakutana nayo kwenye ziara yake. Hata wewe unavyokua kwenye mizunguko yako lazima unakutana na vitimbi na ukiwasimulia jamaa zako haimaanishi kuwa ulikua unafuatilia hivyo vitimbi.!
Mkuu idawa Mbeya lazima. Nakumbuka kuna mteremko fulani baada ya pale Simike, kuelekea kule chini Nzovwe...!!navuta kumbukumbu zangu!!Mkuu Thanda ukimaliza ziara usisahau kutuandalia kitabu cha ziara yako,bila kusahau matukio yako ya mikoani hasa kisanga cha jijini mbeya. Naamini itakua poa sana...pamoja sana mkuu.!
Mdau Wetu, kila mahali ninapopita huwa kuna vitu vinanivutia. Acha niandike vitu ninavyokutana navyo. Kuna watu wengine hawana muda wa kutosha kufanya utalii wa ndani ili kuweza kuona vitu...hii ni njia nzuri sana ya kushirikiana na kubadilishana yale tunayoyashuhudia.....Katika mji wowote huwa kuna matukio na si kwamba haya niyaonayo hayapo katika miji mingine...hapana. Kuna mambo makubwa kuliko hata haya ila haya ni baadhi tu ya vijimambo ninavyokutana navyo. Naamini hata wewe kuna vitu huwa unaviona na wala huviandiki humu. nikushauri tu kuwa ni bora kujifunza toka kwa wengine na usimtukane mtu. Jenga hoja ili uweze kuipinga hoja ambayo unaona haina tija..Pamoja Mdau Wetu.huna maana kweli wewe! yaani Dar umeona mambo hayo tu, inaonesha we mwenyewe unafuatilia ishuzi gani.
Wanajamii, niko Dar, sijakutana na Mwita Maranya.....ushamba umenitoka kwa sehemu fulani. nimeshuhudia matukio fulani fulani. nilifika hapa tangu tarehe 2.11.2012 nitaondoka tarehe 16.11.2012
Asante kwa wale walionipigia, tumeongea nimefurahi sana, mambo ya Dar ni makubwa
Yafuatayo ndiyo niliyoyashuhudia, Nikiongozwa na family friend wetu Khadija Mzanzibari, ni matukio ya siku tofauti tofauti, sio ya siku moja:
Temeke pale Sokota: Lori kubwa lililobeba kontena lilimkanyaga kondakta wake mguu umesagika, lilikuwa linapaki na yeye analiongoza.
Temeke eneo la KISUMA night Club: nyama ya mbuzi siyo fresh, machangudoa wote na mashoga bila kificho, Sijaona usalama wa kutosha jioni...kujiuza kwa wadada na wakaka ni jambo la kawaida hapo.
Tandale Sokoni: Vibaka wasio na uzoefu wakiwasachi watu
Nyuma ya The Girafe Hotel: Hapo kuna mtaa unaitwa Sudan, Nyumba imejengwa ina vyumba vidogo vidogo sana, wadada warembo wamekaa kila mtu mbele ya chumba chake kusubiria wateja. Ukifika hata usipoongea na yeyote we unaingia tu ndani na yule aliye mbele ya chumba chake anakufuata. Cha ajabu niliambiwa wote ni wahaya, na Mwenye hiyo nyumba kazi yake ni kuwasaidia kutafuta wateja. Wanakupa bei ya matumizi ya bila condom, matumizi ya condom, matumizi ya "njia ya haja kubwa" ila bei ni kuanzia TZS 2000 tu.
Sunrise Beach Resort, Kigamboni: niko na wife, nimepaki gari eneo sahihi akaja mdada mzuri sana na kuniambia kwa sauti ya upole "kaka unaweza kunipisha nipaki kwani hili ni eneo langu la siku zote, kabla sijajibu akapotea, nilishangaa sana.Tukahamia Kipepeo Beach Resort.
Tausi Guest House (Kwa nje) Kinondoni Morocco: Khadija Mzanzibari anatamani kitu, anashindwa kuniambia live,.."shem mi kuna kitu nakitamani sana" nini tena shem, namuuliza. yeye anaguna, halafu nami naanza kupata wasiwasi. "mpigie mkeo atakwambia, yeye nilishamwambia". Napata ahueni, nampigia wife, hayuko mbali, kaenda mara moja crdb bank kwa manyanya,,, "dad si nakuja" ananijibu. Khadija ananipa stori za Zanzibar, tunapata kinywaji,....wife huyu hapa kafika...."dad ni kweli Khadija alinieleza kitu, tumkubalie tu.....tunaondoka hadi Mbagala Annex, kwa Mr D. Tunaagiza chakula, na Khadija anaagiza chakula chake akipendacho...anakifurahia sana, "anasema now we can talk"
DarLive Ukumbini, Mbagala: Mrembo mmoja amelewa mchana na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine eti joto limezidi. Mara huyo kasimama ananiuliza "anko vipi, si ukanipe kimoja tu, namuuliza nini, ananiangalia...Khadija Mzanzibari akamuuliza"mbona unachotaka kumpa mi tayari nimeshampa?" yeye akajibu "ina maana utamu wote umeupata mwenyewe...kicheko pande zote, mi kimya.kidogo wife huyu hapa."dad twende zetu mambo ya Dar hutayaweza.
Temeke eneo la Kanisa la Wasabato: Nashuhudia umati mkubwa wa watu wakielekea usawa wa Temeke Hospital, eti kuna mtu amefumaniwa na mke wa mtu wakifanya mapenzi halafu wameng'ang'aniana...mara polisi hawa hapa, mabomu ya machozi kama kawaida.
Bado naendelea na michakato.
Wanajamii baada ya kukosekana kwa muda kidogo nimerudi tena. Safari zangu za upcountry (mikoani)zimefana sana.Nimshukuru Mungu Kwa kukutana na mwanajamii mwenzetu, Highlander. Ni mtu wa watu, mcheshi mchangamfu na mwenye kuonekana kama kijanan wa miaka 30 tu. Kanikaribisha nyumbani kwake tukapata kikombe cha kahawa.Mwendo wake tu unamtambulisha ni mtu wa aina gani. Asante sana mkuu. Nategemea kukutana na akina idawa , courtesy na wengine wengi. Nivea ni mtu mwenye huruma sana, hasa katika lile tukio la mtoto Aneth wa kule Mbeya. Asante sana Nivea, nilitoa mchango wangu. Mwita Maranya uko wapi shem?
Nimepita mikoani, Singida, Arusha, Tanga, Musoma, Mwanza na Manyara,, Huko kote kuna mengi niliyoyaona, Nayo pia nitayaeleza. Sikuona sababu ya kuanzisha thread nyingine kuhusu haya, ila wanajamii wawili tu naomba kama mtaridhia nifungue thread ya mikoani pekee. Nimefika pia Mombasa, maeneo ya mariakani, Kilindi, Naa kule gereza la shimo la Tewa...Signon (pale bandarini sikukaa sana...huko vituko ni kila kukicha. Voi, Mbwinzau, Msongaleli, Emali hadi kufika Athi River (mlolongo) unaweza kukuta vioja. Nairobi hali ya hewa ni nzuri sana.
Singida Kuna mambo. Jamani Punda bado ni nyama halali kwa wakazi wa Sepuka na Puma. Iguguno sijaona kwa mach..Kwenye thread ya Mikoani nitaweka wazi ili kila mtu ajue.
Maandalizi mema ya Sikukuu ya Krismass yanaendelea vizuri.