Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Wanajamii, niko Dar, sijakutana na Mwita Maranya.....ushamba umenitoka kwa sehemu fulani. nimeshuhudia matukio fulani fulani. nilifika hapa tangu tarehe 2.11.2012 nitaondoka tarehe 16.11.2012
Asante kwa wale walionipigia, tumeongea nimefurahi sana, mambo ya Dar ni makubwa
Yafuatayo ndiyo niliyoyashuhudia, Nikiongozwa na family friend wetu Khadija Mzanzibari, ni matukio ya siku tofauti tofauti, sio ya siku moja:
Temeke pale Sokota: Lori kubwa lililobeba kontena lilimkanyaga kondakta wake mguu umesagika, lilikuwa linapaki na yeye analiongoza.
Temeke eneo la KISUMA night Club: nyama ya mbuzi siyo fresh, machangudoa wote na mashoga bila kificho, Sijaona usalama wa kutosha jioni...kujiuza kwa wadada na wakaka ni jambo la kawaida hapo.
Tandale Sokoni: Vibaka wasio na uzoefu wakiwasachi watu
Nyuma ya The Girafe Hotel: Hapo kuna mtaa unaitwa Sudan, Nyumba imejengwa ina vyumba vidogo vidogo sana, wadada warembo wamekaa kila mtu mbele ya chumba chake kusubiria wateja. Ukifika hata usipoongea na yeyote we unaingia tu ndani na yule aliye mbele ya chumba chake anakufuata. Cha ajabu niliambiwa wote ni wahaya, na Mwenye hiyo nyumba kazi yake ni kuwasaidia kutafuta wateja. Wanakupa bei ya matumizi ya bila condom, matumizi ya condom, matumizi ya "njia ya haja kubwa" ila bei ni kuanzia TZS 2000 tu.
Sunrise Beach Resort, Kigamboni: niko na wife, nimepaki gari eneo sahihi akaja mdada mzuri sana na kuniambia kwa sauti ya upole "kaka unaweza kunipisha nipaki kwani hili ni eneo langu la siku zote, kabla sijajibu akapotea, nilishangaa sana.Tukahamia Kipepeo Beach Resort.
Tausi Guest House (Kwa nje) Kinondoni Morocco: Khadija Mzanzibari anatamani kitu, anashindwa kuniambia live,.."shem mi kuna kitu nakitamani sana" nini tena shem, namuuliza. yeye anaguna, halafu nami naanza kupata wasiwasi. "mpigie mkeo atakwambia, yeye nilishamwambia". Napata ahueni, nampigia wife, hayuko mbali, kaenda mara moja crdb bank kwa manyanya,,, "dad si nakuja" ananijibu. Khadija ananipa stori za Zanzibar, tunapata kinywaji,....wife huyu hapa kafika...."dad ni kweli Khadija alinieleza kitu, tumkubalie tu.....tunaondoka hadi Mbagala Annex, kwa Mr D. Tunaagiza chakula, na Khadija anaagiza chakula chake akipendacho...anakifurahia sana, "anasema now we can talk"
DarLive Ukumbini, Mbagala: Mrembo mmoja amelewa mchana na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine eti joto limezidi. Mara huyo kasimama ananiuliza "anko vipi, si ukanipe kimoja tu, namuuliza nini, ananiangalia...Khadija Mzanzibari akamuuliza"mbona unachotaka kumpa mi tayari nimeshampa?" yeye akajibu "ina maana utamu wote umeupata mwenyewe...kicheko pande zote, mi kimya.kidogo wife huyu hapa."dad twende zetu mambo ya Dar hutayaweza.
Temeke eneo la Kanisa la Wasabato: Nashuhudia umati mkubwa wa watu wakielekea usawa wa Temeke Hospital, eti kuna mtu amefumaniwa na mke wa mtu wakifanya mapenzi halafu wameng'ang'aniana...mara polisi hawa hapa, mabomu ya machozi kama kawaida.
Bado naendelea na michakato.
Asante kwa wale walionipigia, tumeongea nimefurahi sana, mambo ya Dar ni makubwa
Yafuatayo ndiyo niliyoyashuhudia, Nikiongozwa na family friend wetu Khadija Mzanzibari, ni matukio ya siku tofauti tofauti, sio ya siku moja:
Temeke pale Sokota: Lori kubwa lililobeba kontena lilimkanyaga kondakta wake mguu umesagika, lilikuwa linapaki na yeye analiongoza.
Temeke eneo la KISUMA night Club: nyama ya mbuzi siyo fresh, machangudoa wote na mashoga bila kificho, Sijaona usalama wa kutosha jioni...kujiuza kwa wadada na wakaka ni jambo la kawaida hapo.
Tandale Sokoni: Vibaka wasio na uzoefu wakiwasachi watu
Nyuma ya The Girafe Hotel: Hapo kuna mtaa unaitwa Sudan, Nyumba imejengwa ina vyumba vidogo vidogo sana, wadada warembo wamekaa kila mtu mbele ya chumba chake kusubiria wateja. Ukifika hata usipoongea na yeyote we unaingia tu ndani na yule aliye mbele ya chumba chake anakufuata. Cha ajabu niliambiwa wote ni wahaya, na Mwenye hiyo nyumba kazi yake ni kuwasaidia kutafuta wateja. Wanakupa bei ya matumizi ya bila condom, matumizi ya condom, matumizi ya "njia ya haja kubwa" ila bei ni kuanzia TZS 2000 tu.
Sunrise Beach Resort, Kigamboni: niko na wife, nimepaki gari eneo sahihi akaja mdada mzuri sana na kuniambia kwa sauti ya upole "kaka unaweza kunipisha nipaki kwani hili ni eneo langu la siku zote, kabla sijajibu akapotea, nilishangaa sana.Tukahamia Kipepeo Beach Resort.
Tausi Guest House (Kwa nje) Kinondoni Morocco: Khadija Mzanzibari anatamani kitu, anashindwa kuniambia live,.."shem mi kuna kitu nakitamani sana" nini tena shem, namuuliza. yeye anaguna, halafu nami naanza kupata wasiwasi. "mpigie mkeo atakwambia, yeye nilishamwambia". Napata ahueni, nampigia wife, hayuko mbali, kaenda mara moja crdb bank kwa manyanya,,, "dad si nakuja" ananijibu. Khadija ananipa stori za Zanzibar, tunapata kinywaji,....wife huyu hapa kafika...."dad ni kweli Khadija alinieleza kitu, tumkubalie tu.....tunaondoka hadi Mbagala Annex, kwa Mr D. Tunaagiza chakula, na Khadija anaagiza chakula chake akipendacho...anakifurahia sana, "anasema now we can talk"
DarLive Ukumbini, Mbagala: Mrembo mmoja amelewa mchana na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine eti joto limezidi. Mara huyo kasimama ananiuliza "anko vipi, si ukanipe kimoja tu, namuuliza nini, ananiangalia...Khadija Mzanzibari akamuuliza"mbona unachotaka kumpa mi tayari nimeshampa?" yeye akajibu "ina maana utamu wote umeupata mwenyewe...kicheko pande zote, mi kimya.kidogo wife huyu hapa."dad twende zetu mambo ya Dar hutayaweza.
Temeke eneo la Kanisa la Wasabato: Nashuhudia umati mkubwa wa watu wakielekea usawa wa Temeke Hospital, eti kuna mtu amefumaniwa na mke wa mtu wakifanya mapenzi halafu wameng'ang'aniana...mara polisi hawa hapa, mabomu ya machozi kama kawaida.
Bado naendelea na michakato.