Dar: Matukio na yanayojiri jijini...

Dar: Matukio na yanayojiri jijini...

Thanda

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
1,915
Reaction score
596
Wanajamii, niko Dar, sijakutana na Mwita Maranya.....ushamba umenitoka kwa sehemu fulani. nimeshuhudia matukio fulani fulani. nilifika hapa tangu tarehe 2.11.2012 nitaondoka tarehe 16.11.2012

Asante kwa wale walionipigia, tumeongea nimefurahi sana, mambo ya Dar ni makubwa

Yafuatayo ndiyo niliyoyashuhudia, Nikiongozwa na family friend wetu Khadija Mzanzibari, ni matukio ya siku tofauti tofauti, sio ya siku moja:

Temeke pale Sokota: Lori kubwa lililobeba kontena lilimkanyaga kondakta wake mguu umesagika, lilikuwa linapaki na yeye analiongoza.

Temeke eneo la KISUMA night Club: nyama ya mbuzi siyo fresh, machangudoa wote na mashoga bila kificho, Sijaona usalama wa kutosha jioni...kujiuza kwa wadada na wakaka ni jambo la kawaida hapo.

Tandale Sokoni: Vibaka wasio na uzoefu wakiwasachi watu

Nyuma ya The Girafe Hotel: Hapo kuna mtaa unaitwa Sudan, Nyumba imejengwa ina vyumba vidogo vidogo sana, wadada warembo wamekaa kila mtu mbele ya chumba chake kusubiria wateja. Ukifika hata usipoongea na yeyote we unaingia tu ndani na yule aliye mbele ya chumba chake anakufuata. Cha ajabu niliambiwa wote ni wahaya, na Mwenye hiyo nyumba kazi yake ni kuwasaidia kutafuta wateja. Wanakupa bei ya matumizi ya bila condom, matumizi ya condom, matumizi ya "njia ya haja kubwa" ila bei ni kuanzia TZS 2000 tu.

Sunrise Beach Resort, Kigamboni: niko na wife, nimepaki gari eneo sahihi akaja mdada mzuri sana na kuniambia kwa sauti ya upole "kaka unaweza kunipisha nipaki kwani hili ni eneo langu la siku zote, kabla sijajibu akapotea, nilishangaa sana.Tukahamia Kipepeo Beach Resort.

Tausi Guest House (Kwa nje) Kinondoni Morocco: Khadija Mzanzibari anatamani kitu, anashindwa kuniambia live,.."shem mi kuna kitu nakitamani sana" nini tena shem, namuuliza. yeye anaguna, halafu nami naanza kupata wasiwasi. "mpigie mkeo atakwambia, yeye nilishamwambia". Napata ahueni, nampigia wife, hayuko mbali, kaenda mara moja crdb bank kwa manyanya,,, "dad si nakuja" ananijibu. Khadija ananipa stori za Zanzibar, tunapata kinywaji,....wife huyu hapa kafika...."dad ni kweli Khadija alinieleza kitu, tumkubalie tu.....tunaondoka hadi Mbagala Annex, kwa Mr D. Tunaagiza chakula, na Khadija anaagiza chakula chake akipendacho...anakifurahia sana, "anasema now we can talk"

DarLive Ukumbini, Mbagala: Mrembo mmoja amelewa mchana na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine eti joto limezidi. Mara huyo kasimama ananiuliza "anko vipi, si ukanipe kimoja tu, namuuliza nini, ananiangalia...Khadija Mzanzibari akamuuliza"mbona unachotaka kumpa mi tayari nimeshampa?" yeye akajibu "ina maana utamu wote umeupata mwenyewe...kicheko pande zote, mi kimya.kidogo wife huyu hapa."dad twende zetu mambo ya Dar hutayaweza.

Temeke eneo la Kanisa la Wasabato: Nashuhudia umati mkubwa wa watu wakielekea usawa wa Temeke Hospital, eti kuna mtu amefumaniwa na mke wa mtu wakifanya mapenzi halafu wameng'ang'aniana...mara polisi hawa hapa, mabomu ya machozi kama kawaida.


Bado naendelea na michakato.
 
Kiudaku zaidi. Sio mbaya lakini nzuri kwa kushushia na fanta, dare fore more
 
Dah! Huu ni utalii wa ndani...! BTW! Mbona TMK tu? Au ndiyo kwetu Mbagala?
 
Umesahau kuingia Girrafe Royal mida ya kuanzia saa 5 usiku. Kila siku ni ladies free. Utakutana na vichuchu vya kufa mtu.
 
Kuna mawili katika hii thread wewe au mtu facebook kaikopi na kupest.
Kwenye pitapita zangu huko fb mida hii nimekutana na na post kama hii ipo hivihivi; bila hata kubadilika hata neno moja
.
Tembelea
page ya "cheka upasuke" kwenye facebook
 
Acha kutukna makabila ya watu mpuuzi wewe!
Ndugu yangu situkani mtu na wala sina tabia hiyo, isipokuwa huo ndio ukweli niliouona, kusemwa vibaya kwa mtu kunatokana na matendo anayoyafanya, kwa mfano kuna bwana mmoja Sinza mori leo asubuhi nimekuta anatukanwa na wanawake kwa sababu ya matendo yake, niligundua ni mchaga kwani walikuwa wanasema"KIOSO siku hizi umebadilika sana na wala hakuna mchaga mjinga kama wewe" sasa watu wakisema hivyo ni matusi?

Ukisoma Biblia kuna habari za "Msamaria", je unajua kuwa hakuna watu waliowahi kuwa na matendo maovu duniani kama Wasamaria, Wezi, Wanyang'anyi,Walawiti kama kabila la Wabenjamin? Je wajua kuwa hao wasamaria walikuwa hawachangamani na mtu yeyote, wabinafsi?...matatizo kibao,,,,lakini tukio moja tu likawabadilisha? Na ndio maana katika kiswahili ukimwita mtu "msamaria" unakosea, unapaswa kumwita "msamaria mwema".....kwa kusema hivyo, hakuna kabila ambalo ni zinzi kuliko jingine...wote tumeoza ila mtu binafsi anaweza kubadilika.....Ila kama umejisikia vibaya pole sana ila "HUO NDIO UKWELI NILIOUKUTA DAR,
NA SIO DAR PEKEE NI KILA MAHALI. POLE SANA WAKWETU!!!"
 
Mji huu unawenyewe, we jirudie tu huko utokako
Mkuu usinifukuze, si uniache kidogo nisafishe macho ndugu yangu, sijui ni lini nitarudi tena Dar....Nivumilie mkuu naondoka tarehe 16.11.2012...
 
Hahahaha hii nimeifananisha na makala fulani "jicho letu mtaani"
 
Kuna mawili katika hii thread wewe au mtu facebook kaikopi na kupest.
Kwenye pitapita zangu huko fb mida hii nimekutana na na post kama hii ipo hivihivi; bila hata kubadilika hata neno moja
.
Tembelea
page ya "cheka upasuke" kwenye facebook
Mkuu itakuwa mtu ameikopi.....naamini hivyo kwani yote ninayoandika ndiyo ninayoyaona, naondoa ushamba huku mjini...waache waikopi kwani inawafurahisha. Hata angekuja mzungu angeshangaa shangaa tu....vituko ambavyo amevi-miss
 
Back
Top Bottom