Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,212
- 42,077
Daaaa we bila kutaja cdm huwezi kuchangia?
Muhimu wasiige fujo za CDM tu.
Muhimu wasiige fujo za CDM tu.
Una haaaamu ya kuona waislamu wanaendelea kuuwawa!Sasa hiyo sensa imekwisha? Kwa nini wanaandamana tena hapa Dar ndo polisi wapo kibao na bado wamewaacha? Km kweli nchimbi unao ubavu sogelea hao waislamu na vipolisi vyako ndo utaijua nguvu ya Jihadi kwani hapo ni JK,Bilali na raisi wa Zanzibar ndo watatoa matamko.
Hahahahahaha SENSA Imeisha na Mmeshahesabiwa kitaeleweka nini SASA.
Hawa wanapinga vitendo vilivyo fanywa na mahaka wakishilikiana na police kuwa nyima zamana watu walio gomea sensa pia inasadikika kuwa kunamama alikamatwa na police wakamuzalisha hadi akapada buridi ili hari mjamzito chazo hutuba ya leo msikiti wa mtoro.
wanapokelewa na waziri!:loco:
Wanaelekea wizara ya mabo ya ndani. Polisi wanawalinda! Sidhani kama kibali waliomba! Ila polisi wapo na wanajitahidi kuongoza magari maana msongamano ni mkubwa.
Wanaelekea wizara ya mabo ya ndani. Polisi wanawalinda! Sidhani kama kibali waliomba! Ila polisi wapo na wanajitahidi kuongoza magari maana msongamano ni mkubwa.
Wadau Dar es Salaam Ciy Centre....naona maandamano makubwa ya watu inaohisiwa ni Waislamu hapa mitaa ya Posta Mpya wakielekea Mambo Ya Ndani....mwenye taarifa atujuze kulikoni?~
Ha ha ha haaah!! Ni chama cha akina nani??Ukitaka kujua Chadema ni chama cha kina nani soma michango yao katika hii thread mpaka raha.
subiria utaona watakachofanyiwa ffu wanawafuata nyuma taratiiiibu