Ukifatwa na bank ukope ni mtego usikope,Boss wangu na bro wangu dam alikua na mzunguko mkubwa vile vidada vinavyoshawishi watu kukopa vilikua vinamshawishi sana akakopa milion 100 alafu baada ya mwaka biashara ikayumba vibaya sana akaishiwa kabisa.Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.
Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.
Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.
Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.
Authentic/Organic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.
Mimi sijawahi kopa Bank hata 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.
Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow of cash ni nzuri.
Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeona fursa.
Na vikishafanikiwa kukushawishi vinakuwa vikauzuUkifatwa na bank ukope ni mtego usikope,Boss wangu na bro wangu dam alikua na mzunguko mkubwa vile vidada vinavyoshawishi watu kukopa vilikua vinamshawishi sana akakopa milion 100 alafu baada ya mwaka biashara ikayumba vibaya sana akaishiwa kabisa.
Saiv anaogopa mkopo wa bank kuiko chochte
Na vikishafanikiwa kukushawishi vinakuwa vikauzu
Simba mtoto haijawahi kubadili jinaMiaka hiyo ilikuwa inaitwa jina gani?
Hao wameuza Sana Meno ya tembo wa Mikumi, hapo wanatakatisha pesa Tu na ndio maana wanatumia gharama yoyote wabaki kuwa wabunge.Abood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game. Na wanazidi kushusha vyuma vipya. Wakongwe wengine wote walishatupa vitaulo
JAMBO LA KUJIFUNZA, ALITHUBUTU NA ALIWEZA KUANSIAHA BIASHARA KUBWA.Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence/misifa Kama yote. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
Dar lax kahamia kwenye agriggate bussiness.JAMBO LA KUJIFUNZA, ALITHUBUTU NA ALIWEZA KUANSIAHA BIASHARA KUBWA.
KWAMBA SISI TUONAO MJADILI HAPA TUFANYE MAKUBWA ZAIDI YAKE.
Hakuna mfanyabiashara mkubwa anaefanya biashara ya bus wenye mabus wengi ni watu wa katistory za kitaa walikua wanasema mmiliki wa hizi chuma alikua ni Lake Oil labda aliona hazimlipi akaona aendelee na biashara zake za awali.
Hii biashara sio poa niliwahi kuwa na mazungumzo na bosi wa zilizokuwa basi za Hekima zilitamba sana miaka ya 2000 mwanzoni route ya Dar-Mbeya-Tunduma.
Akaniambia msione vyuma tu vinapita barabarani ila mjue wakurugenzi wa mabasi wote tuna sonona
Mara ya mwisho niliona kawekeza zaidi kwenye usafirishaji wa malori, mabasi alipiga chini
Chuma zilikuwa zinakimbia hatariHekima umenikumbusha mbali sana kiongozi hasa ile chata nyuma miaka hiyo hakuna cha Tochi wala VTS
Hakika BANK haipo kwa ajili ya kusaidia mtu
Utafika mbali wanaoendelea ni wasio na mikopo unakuwa na real capital
Huyu itakuwa alijambiwa na fisi. Barabarani kuna mafisi. Kuna watu usipowaona huwezi kutoboa.Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence/misifa Kama yote. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
You have good financial literacyUkiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.
Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.
Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.
Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.
Authentic/Organic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukope.
Mimi sijawahi kopa Bank hata 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.
Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow of cash ni nzuri.
Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeona fursa.
Sio huyo tu mkongwe ,wapo wengine wengi ni kwamba mmekariri hao tuAbood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game. Na wanazidi kushusha vyuma vipya. Wakongwe wengine wote walishatupa vitaulo
Hawa ni wajanja . Wamejiingiza kwenye Chaka la ufisadi (ccm) ni wabunge. Hivyo kuna tozo na Kodi wanakwepa kwa nafasi zao.Abood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game
Zuberi naye ni kikongwe sana huyo mzee wa MwanzaSimba mtoto ya TANGA ndio mkongwe nchini and still going strong. Tangu miaka ya 60.
Sawa mkuu mwongeze kwenye listSio huyo tu mkongwe ,wapo wengine wengi ni kwamba mmekariri hao tu
Kuna mtu anaitwa Zuberi yupo kanda ya ziwa , huu ni mkongwe kwenye hii game kuliko hata hao akina Abood na Shabiby
Na ana convoy ya magari yanaenda Dar ,Kahama ,na sehemu nyingine
Yupo miaka mingi mno kwenye hii game na anafanya poa tu na anazidi kutanuka kila siku na
Hii biashara inahitaji strategy , ukitenfengeneza strategy yako na ikatick basi utatoboa tu