Miradi ya kwenye makaratasi mbona ipo mingi tu sisi tunataka utekelezaji. Rufiji HEP upo kwenye makaratasi tangu awamu ya kwanza lakini utekelezaji unafamywa na JPM.Mkuu mradi huu wa ubungo interchange na six lanes highway Dar -Chalinze ni kazi ya JK hilo kila mtu mwenye akili timamu anajua.Magu msifu moja kwa kubadirisha ramani ya hiyo interchange,pili kwa kupeperusha barabara ya njia Sita Ubungo Chalinze,tatu kwa kubomoa jengo la Tanesco pale ubungo na nne kwa kubomoa nyumba za wakazi wa kimara
