Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 366
Kama Dubai ? Hivi unaijua Dubai wewe ? Wewe ota ndoto tuDar kuwa km dubai hii safi
Kama Dubai ? Hivi unaijua Dubai wewe ? Wewe ota ndoto tuDar kuwa km dubai hii safi
Asee ile barabara ni superb . . . . Sisi ndo kwanza tunajikongoja na express way ya Dar - ChalinzeNishafika huko..wakati unatokea Kitengela nakunja kushoto kuitafuta jiji lenyewe Nairobi ile barabara mnaita sijui thika/Mombasa highway aisee kuna interchange za hatari..
Unaposema Dar kuiaga foleni rasmi unamaanisha nini? Ina maana interchange ya ubungo ndio itamaliza foleni ya Dar yote? Unaifahamu Dar vizur wewe?Picha: Mapishano ya Barabara (Ubungo Interchange) yafikia patamu, Dar es Salaam kuiaga foleni rasmi, mradi huu ni matokeo ya maamuzi ya Rais mzalendo Mhe. Dkt John Magufuli katika kuimairisha miundombinu ya Barabara nchini.
Mradi unagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 188.71
Hii ni Awamu ya KaziView attachment 1442721
Ndiyo pia resource ilizonazo nchi husikaSo tulingishiane tulipo tembelea
Vipi foleni yetu hapa Banana tunaiaga lini?Picha: Mapishano ya Barabara (Ubungo Interchange) yafikia patamu, Dar es Salaam kuiaga foleni rasmi, mradi huu ni matokeo ya maamuzi ya Rais mzalendo Mhe. Dkt John Magufuli katika kuimairisha miundombinu ya Barabara nchini.
Mradi unagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 188.71
Hii ni Awamu ya KaziView attachment 1442721
Ushafika Luanda?Ndiyo pia resource ilizonazo nchi husika
Mkuu sijafika Angola kwa ujumla Ila najua Luanda is among the top six largest cities in Africa.Lakini pia Angola Ina mafuta probably na watu wenye akili kuliko bongoUshafika Luanda?
Hapo kabla alikuwa na mawazo ya kiccm kiccm but not kwa level ya Bia Yetu.But after that trip to Nairobi na baadae Minnesota she is now a different personMkuu kwa hiyo mkeo ana mawazo kama ya bia yetu?!
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Ndo best kwa Nairobi hii
Huyu atakuwa sio mkazi wa Dar hajajua foleni ipoje jijini.Foleni itaagwa Dar au Ubungo?
Una uhakika interchange hii itaondoa foleni ya banana ukonga au pale Kigogo round about?
Sent using Jamii Forums mobile app
Serious Wala sitanii kaka,mke wangu pia alikuwa na mawazo Kama yako,siku moja nikiwa Nairobi nikamwambia mama njoo,from that day alikili kuwa ni kweli ccm imetuchelewesha sana
Umeshawahi kuisikia sehemu moja Nairobi inaitwa Eastleigh?Mkuu, ka Nairobi ni sawa tu na wilaya moja ya Kinondoni kati ya wilaya tano za jiji la Dar.
Wacha kufananisha Dasilama na vitu vya kijinga!
Just imagine, miundombinu yote na maghorofa yote na majumba makali yote ya Ilala, Temeke, Kigamboni na Ubungo uweke kwenye wilaya moja tu ya Kinondoni.. Dar si itakuwa zaidi ya Dubai?
Wana miundombinu bora ya barabara kuliko Bongoso whats special abbout nairobi?
Umeshawahi kuisikia sehemu moja Nairobi inaitwa Eastleigh?
Alafu hiyo Dar mbona ni ndogo sana kuliko hata Wilaya ya Mwigulu nchemba mara tano sijui kumi
Jinga weweMkuu mradi huu wa ubungo interchange na six lanes highway Dar -Chalinze ni kazi ya JK hilo kila mtu mwenye akili timamu anajua.Magu msifu moja kwa kubadirisha ramani ya hiyo interchange,pili kwa kupeperusha barabara ya njia Sita Ubungo Chalinze,tatu kwa kubomoa jengo la Tanesco pale ubungo na nne kwa kubomoa nyumba za wakazi wa kimara
Ni kweli, lakini Nai ni habari nyingine hiyo Eastleigh ukifika unaweza kuhisi uko PostaDar ni ndogo ila kuilinganisha na nairobi sio sahihi... Nairobi ni ndogo sana kwa size ya dar.. nairobi hawana umbali wa mbagala bunju ama mbezi - kibada