Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,604
Hakuna kitu paleInaitwa Thika road mkuu.nadhani ndo barabara bora Africa mashariki
Kuna nini pale?au ile barabara unailinganisha na barabara gani hapa Bongo? May be kipande Cha daraja la Nyerere
Wana miundombinu bora ya barabara kuliko Bongo
Mkuu Kuna mtu kascha ameungamisha mikoa 23 ya Tanzania kwa barabara za lami, wewe unahangaika na Mr siasa uchwara?Rais magufuli ataacha alama kubwa sana kwa taifa hili,sema korona ndo anataka kuvuruga kila kitu but naimani atatuvusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kuna mtu kascha ameungamisha mikoa 23 ya Tanzania kwa barabara za lami,wewe unahangaika na Mr siasa uchwara?
Mkuu I think you got it wrong,Thika roads 8 lanes within Nairobi na six lanes out of Nairobi ilijengwa na kibaki, Uhuru highway 6 lanes with all madaraja ya juu up to Jomo Kenyatta Airport ilijengwa na Mwai, Haire siras road,Kenyatta highway six lenes each pia Kuna mkono wa kubaki, University high way na madaraja mengi ya including like daraja refu kutoka stend ya mabasi is Mwai kibaki product.Regime mpya imejenga Nairobi bypass.Nong road na flyover za mombasanairobi is just a well built city with false propaganda! it has highways kitambo sana but the way wanaexplain highways zao utadhan ni dubai! they are just normal highways but ni nyingi, tuseme standard ya ubungo ikikamalika plus the train tafuta east africa hii i bet utaipata ethiopia tu
Hehehe!!!East and Central Africa...
Wakuu nadhani mnachanganya mambo,tunaongelea tanzaniaInaitwa Thika road mkuu.nadhani ndo barabara bora Africa mashariki
Amini usiamini,kwa tanzania iliyopita mtu alikuwa akitamani kuona barabara ya juuNishafika huko..wakati unatokea Kitengela nakunja kushoto kuitafuta jiji lenyewe Nairobi ile barabara mnaita sijui thika/Mombasa highway aisee kuna interchange za hatari..
Mkuu Kama upo kwenye group la kumsifu muda hautatosha kukushawishi, Ila Kama mtu anayetekekeza kwa less than 50% kile alichopanga kukifanya kwa muda furani ndo mfano wa kuigwa Africa basi Africa Ina bahati mbayaMkuu kwako ni siasa uchwara kwangu Mimi naona JPM ni mwanasiasa wa mfano wa kuigwa kwa mataifa ya afrika,ilipaswa awe madarakani miaka hata kwa miaka 20 ila basi tu ,tungefika mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu. Utamchanganya mpe nauli ya basi aende Chigali, Rwanda nchi iliyopata uhuru mwaka 1994 akaone mji akirudi apande Tahfif aende Mombasa. Nairobi tutampeleka akibaleheMkuu dunia ikisafunguka,naomba nikulipie flight ticket na hoteli angalau ufike na kutembea hapo Nairobi atleast akili ikufunguke
Mkuu dunia ikisafunguka,naomba nikulipie flight ticket na hoteli angalau ufike na kutembea hapo Nairobi atleast akili ikufunguke
Mkuu nchi ya mwisho kupata uhuru kusini mwa bara la Africa ilipsta 1980 miaka 40 iliyopitaWakuu nadhani mnachanganya mambo,tunaongelea tanzania
Wakati Kenya wanajenga hizo barabara,Tanzania tulikuwa tunakomboa nchi za kusini
mwa bara la afrika,sasa tayari zipo huru,tumeanza kujenga nchi yetu
HahahahMkuu. Utamchanganya mpe nauli ya basi aende Chigali, Rwanda nchi iliyopata uhuru mwaka 1994 akaone mji akirudi apande Tahfif aende Mombasa. Nairobi tutampeleka akibalehe
Pamoja na uwepo wa barabara za chini kwa chini upande ule wa Makumbusho. .zile barabara za juu. ..njia hadi nane ila foleni bado iko pale pale ..ila kiukweli CCM wanazingua. ..JPM anafanya kazi nzuriSerious Wala sitanii kaka,mke wangu pia alikuwa na mawazo Kama yako,siku moja nikiwa Nairobi nikamwambia mama njoo,from that day alikili kuwa ni kweli ccm imetuchelewesha sana
Huyo anae msifia Hana tofaut na marehemMbona unaandika kama wasifu wa marehemu