Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,386
- 90,788
Unaifahamu Dubai?
Dar kuwa kama Dubai hii safi.
Dar kuwa kama Dubai hii safi.
Unaifahamu Dubai?
Dar kuwa kama Dubai hii safi.
Pilipili usizokula zinakuwashia nini? Kenya mlipokuwa mnauana wenyewe kwa wenyewe mithili ya nguruwe pori,hizo fly over ziliwasaidiaje?
usitake kutuletea silaha zilizoshindwa kukusaidia vitani ili tuzitumie kupigana.
Tanzania na kenya ni nchi mbili tofauti kila mmoja akae kwake ndo maana kuna mipaka.
Imeshatuathiri tayari,madhara yake itachukua miaka kadha kuishaRais magufuli ataacha alama kubwa sana kwa taifa hili,sema korona ndo anataka kuvuruga kila kitu but naimani atatuvusha
Sent using Jamii Forums mobile app