Dar kuiaga foleni rasmi

Dar kuiaga foleni rasmi

Wewe kweli hujijui!

Sasa hapa aliyetekeleza huo mradi ni JK.? vipi kama Magu angeamua kuupiga chini?

Mbona bandari ya bagamoyo aliipiga chini baada ya kuona haina manufaa kwa taifa.?

Wakati mwingine si tu kupingaa tuuu, bali kukubali hata kama kitu kinauma

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tungemsifia hivyo hivyo Kama tunavyomsifia sasa kwa kujenga kilometer 17 Kimara- Kibaha baada ya kupeperusha ujenzi wa kilometa 100
 
Picha: Mapishano ya Barabara (Ubungo Interchange) yafikia patamu, Dar es Salaam kuiaga foleni rasmi, mradi huu ni matokeo ya maamuzi ya Rais mzalendo Mhe. Dkt John Magufuli katika kuimairisha miundombinu ya Barabara nchini.

Mradi unagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 188.71

Hii ni Awamu ya KaziView attachment 1442721
Ubungo ya wapi ina Miti hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anyway kukujibu swali lako, hivi hapa vipande vya Thika superhighway Nairobi

Nairobi-Thika-Highway.jpg


Thika-Road-Apartment-for-Sale.jpg


hqdefault.jpg
Mbona kawaida sana utopolo huu mnaleta sasa

Bongo imeanza na fly over moja ambayon itakua ya kwanza east afrca nnyie mnatuletea ma interchange.

Kuna fly over zngne kama tano iv tyr zpo mezan
-Mwenge, Moroco, Kamata, nk

inshort vibarabara vya Nairob si kitu kwa bongo maana tumewapiku kwa maghorofa majengo makali just imagine ile makumbusho ilivokaa poa rud uku njia ya mliman city. Kuna blue giant moja limesimama pale .

Anyway tusiongee sana ila tusubil rel ya umeme iishe na brt ziijengwe phase zingne





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Foleni Zitaisha Kabisa ikiwa tukiamua tupange Miji yetu vizuri sisi hatuna magari Mengi tatizo ni barabara finyu na hata hizo finyu zinategemewa hizo hizo tu kubeba watu woote....Miji hii mingi haijapimwa Na hilo ni janga kubwa sana mbeleni
 
Picha: Mapishano ya Barabara (Ubungo Interchange) yafikia patamu, Dar es Salaam kuiaga foleni rasmi, mradi huu ni matokeo ya maamuzi ya Rais mzalendo Mhe. Dkt John Magufuli katika kuimairisha miundombinu ya Barabara nchini.

Mradi unagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 188.71

Hii ni Awamu ya KaziView attachment 1442721
Hizi zingeweza kuwa kama 90km za barabara safi kabisa ya lami.

Kwa DSM tungeweza kujenga barabara zote kwa kiwango cha lami.

Lakini tumeamua kuweka muinuko wa lami tu.

Eng. Wa chemistry....

Sent using iphone pro max
 
Mbona kawaida sana utopolo huu mnaleta sasa

Bongo imeanza na fly over moja ambayon itakua ya kwanza east afrca nnyie mnatuletea ma interchange.

Kuna fly over zngne kama tano iv tyr zpo mezan
-mwenge,moroco,kamata, nk

inshort vibarabara vya nairob si kitu kwa bongo maana tumewapiku kwa maghorofa majengo makali just imagine ile makumbusho ilivokaa poa rud uku njia ya mliman city. Kuna blue giant moja limesimama pale .

Anyway tusiongee sana ila tusubil rel ya umeme iishe na brt ziijengwe phase zingne





Sent using Jamii Forums mobile app

Wakati nyie mnataka kuanza kushangaa flyover ya kwanza, sisi tumechoka nazo ni nyingi mno....
 
Wao wanavizia kupiga picha kwenye maziko makaburini na kusema wamekufa kwa corona😄
Mkuu kwani hao jamaa wanakusanya Kodi wapi au unataka wajenge hayo madaraja kwa pesa zao za mfukoni? Jamani heri yangu mie ambaye si kwenda kupoteza muda wangu shule
 
Sijui kama ulisoma historia ya Afrika mashariki.
Tanganyika ilipopokonywa kwa mjerumani baada ya vita kuu,na kupewa mwingereza
hakuna ujenzi wowote wa kujenga nchi ulioendelea kwa kuhofia muda wowote atatakiwa kuirudisha UNO.
Kwa ufupi tunawezasema maendelea ya kenya yalichangiwa na rasilimali mwingereza alizoiba Tanzania.
Habari ndo hiyo
Mkuu tuna miaka 60 sasa tangu tuanze kujitawala,tena tukitawaliwa na chama bora Africa na Tanzania ikiwa ni nchi pekee yenye every natural resources,you name it.Wewe unachosema hapa ni kwamba sisi hatuwezi kufanya lolote la maana bila Mzungu .Kama ndo hivyo ccm wanangangania madaraka ili iweje sasa
 
Anyway kukujibu swali lako, hivi hapa vipande vya Thika superhighway Nairobi

Nairobi-Thika-Highway.jpg


Thika-Road-Apartment-for-Sale.jpg


hqdefault.jpg
Mimi ni mtanzania na mkazi wa Dar,bila kumungunya maneno,Thika highway ndiyo barabara bora kabisa katika ukanda wa Africa Mashariki kwa sasa.Kwa hapa Tanzania only kipande Cha Nyerere Bridge( kigamboni Bridge) ndo kipande Bora Cha barabara hapa hapa kwetu vilivyobaki vinareflect our level of thinking na uwezo wetu wa kutoona mbali
 
Anyway wakati nyie mnaangaika na matatuu sisi tunapanua BRT njia zote

Sent using Jamii Forums mobile app

Nitachukia sana serikali yetu ikithubutu kufanya BRT kama ya Tanzania, nimeishi hiyo Dar na kutumia hayo mabasi ya DART, yaani kero mwanzo mwisho, watu wanateseka sana na kutamani bora warejeshewe daladala za kawaida tu. Yaani mara kadhaa nilikua nalipa nauli nakaa kwenye kituo inabidi nitoke nikatafute usafiri wa taxi, mabasi yenyewe adimu na likija limechelewa halafu limejaa abiria mpaka mlangoni, watu wananukiana shombo humo, nilichukia sana kuna kasoro kubwa sana kwenye huo mradi halafu la kushangaza hamboreshi, hili ni tatizo la muda mrefu na bado lipo tu.
 
Mimi ni mtanzania na mkazi wa Dar,bila kumungunya maneno,Thika highway ndiyo barabara bora kabisa katika ukanda wa Africa Mashariki kwa sasa.Kwa hapa Tanzania only kipande Cha Nyerere Bridge( kigamboni Bridge) ndo kipande Bora Cha barabara hapa hapa kwetu vilivyobaki vinareflect our level of thinking na uwezo wetu wa kutoona mbali

Halafu kuna hii inaandaliwa ya kutoka JKIA hadi Rironi

jyfivgpatyla25d3d5a1dbb64f.jpg


An-Artist-impression-of-the-Nairobi-Expressway.....-750x422-696x392.jpg



an-artist-impression-of-the-nairobi-expressway812220497166283864.jpg
 
Halafu kuna hii inaandaliwa ya kutoka JKIA hadi Rironi

jyfivgpatyla25d3d5a1dbb64f.jpg


An-Artist-impression-of-the-Nairobi-Expressway.....-750x422-696x392.jpg



an-artist-impression-of-the-nairobi-expressway812220497166283864.jpg
Binafsi sishangai,hizi ni miongoni mwa raslimali alizoiba mwingereza nchini tanzania na kujenga makoloni yake ikiwemo kenya.Sisi baada ya uhuru Nyerere alipambana kukomboa nchi zilizokuwa chini ya mkoloni na baada ya hapo ndo akaanza kujenga nchi.Yote katika yote ukitaka kuendelea jilinganishe na mtu mzima mwenzako.
 
Binafsi sishangai,hizi ni miongoni mwa raslimali alizoiba mwingereza nchini tanzania na kujenga makoloni yake ikiwemo kenya.Sisi baada ya uhuru Nyerere alipambana kukomboa nchi zilizokuwa chini ya mkoloni na baada ya hapo ndo akaanza kujenga nchi.Yote katika yote ukitaka kuendelea jilinganishe na mtu mzima mwenzako.

Endeleeni kujiaminisha upupu, miaka sitini baada ya uhuru bado mumezembea mkiimba hizi nyimbo, dunia ilishatoka toka huko kitambo, mataifa ambayo bado yamebaki kwenye uchumi wa umaskini yaani LDC yana laana fulani na yapo Afrika tu, mnatuaibisha sana nyie.
 
Picha: Mapishano ya Barabara (Ubungo Interchange) yafikia patamu, Dar es Salaam kuiaga foleni rasmi, mradi huu ni matokeo ya maamuzi ya Rais mzalendo Mhe. Dkt John Magufuli katika kuimairisha miundombinu ya Barabara nchini.

Mradi unagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 188.71

Hii ni Awamu ya KaziView attachment 1442721
Stupid kabisa folen ya dsm iko ubungo tu??

Mwenge, Sarenda, Morocco, magomeni, Ilala boma, keko, kurasini, Sayansi, hapo ni barabara kuu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu weusi hamna kitu

Hatuna technology na long vision...we should jus give thanks n appreciate what Chinese Engineers do to us,

Our leaders are corrupt and don't care in almost every important things....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endeleeni kujiaminisha upupu, miaka sitini baada ya uhuru bado mumezembea mkiimba hizi nyimbo, dunia ilishatoka toka huko kitambo, mataifa ambayo bado yamebaki kwenye uchumi wa umaskini yaani LDC yana laana fulani na yapo Afrika tu, mnatuaibisha sana nyie.
Pilipili usizokula zinakuwashia nini? Kenya mlipokuwa mnauana wenyewe kwa wenyewe mithili ya nguruwe pori,hizo fly over ziliwasaidiaje?
usitake kutuletea silaha zilizoshindwa kukusaidia vitani ili tuzitumie kupigana.
Tanzania na kenya ni nchi mbili tofauti kila mmoja akae kwake ndo maana kuna mipaka.
 
Back
Top Bottom