DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

Wacha iwake moto, siwapendi sana hawa jamaa. Wanakanyaga haki za watu sana.
Wanapenda kesi halafu kesi zenyewe wanahonga ili washinde. Wajane wengi (nawafahamu) wameumizwa sana na hawa Superdoll. Kuna yule kijana wao (jina kapuni) ni mbaya sana, hana huruma na wala utu.

Hawa walishawahi kushirikiana na jaji kiongozi wa zamani (jina kapuni) kudhulumu eneo flani jijini dar. Hovyo kabisa.
Wacha mote uwateketeze tu.
Na ndiye mwekezaji fake wa kiwanda cha mtibwa anayewadhulumu wafanyakazi kwa kuwalazimisha kuandika barua ya kuacha kazi chini ya mtutu wa bunduki na iteketee store yote...mungu hulipa hapa hapa duniani...
 
Nimepita maeneo ya mtava mda si mrefu nimeona magari ya fire yanaelekea huko,
c5345d348a5d10874212247e46fec689.jpg
Da JF tupo vizuri mpaka raha yaani, hapa boss wangu nataka kwenda naye airport akaona moshi mkubwa akiwa ghorofa
 
Wacha iwake moto, siwapendi sana hawa jamaa.

Roho mbaya hiyo mkuu, acha Mungu alipe kisasi sio weye. Huenda hata hao wajane ni wadhukumati vile vile. Usimtazame mtu uso ukamhurumia, waweza ingiza joka kitandani. Nawafaham wanawake waovu kuliko firauni
 
Wacha iwake moto, siwapendi sana hawa jamaa. Wanakanyaga haki za watu sana.
Wanapenda kesi halafu kesi zenyewe wanahonga ili washinde. Wajane wengi (nawafahamu) wameumizwa sana na hawa Superdoll. Kuna yule kijana wao (jina kapuni) ni mbaya sana, hana huruma na wala utu.

Hawa walishawahi kushirikiana na jaji kiongozi wa zamani (jina kapuni) kudhulumu eneo flani jijini dar. Hovyo kabisa.
Wacha mote uwateketeze tu.
Watalipwa na Bima mkuu
 
Moshi ni mzito sana hadi maeneo ya Vingunguti , Tazara na Buguruni umetengeneza wingu zito jeusi
 

Attachments

  • IMG_20171006_144528.jpg
    IMG_20171006_144528.jpg
    161.1 KB · Views: 42
  • IMG_20171006_143837.jpg
    IMG_20171006_143837.jpg
    137.9 KB · Views: 42
Habari wakuu,

Kwa hiki kinachoendelea hapa SUPERDOLL nyerere Road kiukweli jeshi letu la zima moto bado halina uwezo wa kukabiriana na majanga haya ya moto hususani makubwa kama hili la leo..

Bado hali ni tete huku vifaa vya kutosha na vyenye uwezo vikionekana kua changamoto..

Ningeshauri serikali ifanye maboresho kwenye jeshi hili
ecbf05e9115c660e5278e6572c830826.jpg
 
Superdoll na Michellin nadhani zote ni za Manji kama kumbukumbu zangu hazipotea.

Za NAssor Super star, na ndugu yake Seif ... ndio wenye Mtibwa Sugar nadhani sina hakika sana kuhusu hii Mtibwa sugar lakini Superdoll ni ya hao ndugu NAssor na Seif
 
Pole watanzania, hela zimeenda kununuliwa magari "vikojozi"
Habari wakuu,

Kwa hiki kinachoendelea hapa SUPERDOLL nyerere Road kiukweli jeshi letu la zima moto bado halina uwezo wa kukabiriana na majanga haya ya moto hususani makubwa kama hili la leo..

Bado hali ni tete huku vifaa vya kutosha na vyenye uwezo vikionekana kua changamoto..

Ningeshauri serikali ifanye maboresho kwenye jeshi hili
ecbf05e9115c660e5278e6572c830826.jpg
 
Tanzania bado sana kwenye kupambana na emergency issues
 
Back
Top Bottom