DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

Nimeona kavareji yake ITV nafkiri jinsi fire walivyowazembe wanaweza kutumbuka
 
Wacha iwake moto, siwapendi sana hawa jamaa. Wanakanyaga haki za watu sana.
Wanapenda kesi halafu kesi zenyewe wanahonga ili washinde. Wajane wengi (nawafahamu) wameumizwa sana na hawa Superdoll. Kuna yule kijana wao (jina kapuni) ni mbaya sana, hana huruma na wala utu.

Hawa walishawahi kushirikiana na jaji kiongozi wa zamani (jina kapuni) kudhulumu eneo flani jijini dar. Hovyo kabisa.
Wacha mote uwateketeze tu.
Duh kama.ni hivo malipo ni hapa hapa duniani
 
Isikute ni dili hilo ili alipwe bima then kiwanda ndiyo kinahamishwa hivyo hawa wahindi siyo watu wa kuwaamini sana,
Mwanamke anashika mimba Tanzania kuzaa ni marekani au canada ili mtoto asiwe raia wa hapa!
 
Wacha iwake moto, siwapendi sana hawa jamaa. Wanakanyaga haki za watu sana.
Wanapenda kesi halafu kesi zenyewe wanahonga ili washinde. Wajane wengi (nawafahamu) wameumizwa sana na hawa Superdoll. Kuna yule kijana wao (jina kapuni) ni mbaya sana, hana huruma na wala utu.

Hawa walishawahi kushirikiana na jaji kiongozi wa zamani (jina kapuni) kudhulumu eneo flani jijini dar. Hovyo kabisa.
Wacha mote uwateketeze tu.
Weh!
 
Hamna kitu hapo watu wameshasuka mipango na imetimia bado kugawana pesa za insurance tu
 
Nimepita hapo mda si mrefu sidhani hata wale fire wa tazara walifika
 
Habari wakuu,

Kwa hiki kinachoendelea hapa SUPERDOLL nyerere Road kiukweli jeshi letu la zima moto bado halina uwezo wa kukabiriana na majanga haya ya moto hususani makubwa kama hili la leo..

Bado hali ni tete huku vifaa vya kutosha na vyenye uwezo vikionekana kua changamoto..

Ningeshauri serikali ifanye maboresho kwenye jeshi hili
ecbf05e9115c660e5278e6572c830826.jpg
Ufanisi zero halafu wanataka kuongezewa mishahara.
 
Wakat tukio linaanza nlikua quality center asee moto ni mkubwa sana kiukwel kwa magari yetu ya zimamoto ambayo yako too locally sidhani kama wataweza kuuzima moto ule bila kuleta madhara makubwa. Tukio km lile niliwahi kuliona CNN mji mmoja marekan jengo lilishika moto jamaa wanazima kwa ndege, nadhan kwa size ya ule moto wangetumia ndege atleast maana ni mkubwa sana.
 
yaani kati ya magari 10 eti ni moja tu lilikua na uwezo wa kuzima ule moto
 
Mhh,sii kwamba walitaka kuichoma quality center ya Manji mara baada ya kuwagaragaza mahakamani leo?na pengine hao "watu wasiojulikana" wame wrong target?maana hicho kiwanda kipo jirani sana na kwa Manji!
 
Isikute ni michezo ya Bima, biashara haziendi kabisa
Yalitokea hoteli moja bagamoyo siitaji ni ya wasomali wakchoma hoteli moto wakalipwa matokeo yake wamekuja kupanga hoteli hapo posta mpya jengo refu wanakula RR aha mstarehe na mpaka leo hiyo hoteli bagamoyo ni gofu.

Sent from my PHANTOM5 using JamiiForums mobile app
 
Moto mkubwa unaoendelea katika kiwanda cha superdoll unazidi kushindikana baada ya magari zimamoto kati ya 10 yaliyoenda moja tu ndilo lenye uwezo wa kufanya hiyo kazi
 
Back
Top Bottom