erick mlacha
Member
- Dec 16, 2016
- 52
- 33
Duu
Tanzania bado sana kwenye kupambana na emergency issues
Pole watanzania, hela zimeenda kununuliwa magari "vikojozi"
Mnyamazishwe!Tatizo
Haihusiani na Manji hiyo huyo mwenye camp ni Nassoro ubini nimesahau na aliwahi kuwa na mabasi ya Super star. Zaman kidogo.Superdoll na Michellin nadhani zote ni za Manji kama kumbukumbu zangu hazipotea.
Superdoll ni mali ya Manji?
Jamaa amepiga dili serikal ya insurance wakiipa anatimua kodi imekuwa kubwa
Swissme
Jamaa amepiga dili serikal ya insurance wakiipa anatimua kodi imekuwa kubwa
Swissme
Ni waarabu ndo walikua wanaendesha viwanda vya mtibwa na kagera sugarSiwajui kwa majina ila ni wahindi
Msome Gragoon ujazie picha na wale tusiowafahamu na avatar yake.Sawa